JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Tuko hapa tunapitia michango ya wananchi hasa hili la bandari.
Hapa TEC mambo ni moto sana.
Ninachojiluza, Iwapo Rais ataelewa mapigo ya wananchi ya kuachana na huo mpango na akafuata mpango ule wa Mbunge wa Kisesa - Mpina kama mambavyo inajadiliwa hapa TEC.
Je, Atarudisha tena Bungeni kujadiliwa?. Bunge letu litakuwa kwenye hari ipi? Livunjwe ama liedelee tu.
Hapa TEC mambo ni moto sana.
Ninachojiluza, Iwapo Rais ataelewa mapigo ya wananchi ya kuachana na huo mpango na akafuata mpango ule wa Mbunge wa Kisesa - Mpina kama mambavyo inajadiliwa hapa TEC.
Je, Atarudisha tena Bungeni kujadiliwa?. Bunge letu litakuwa kwenye hari ipi? Livunjwe ama liedelee tu.