WaBunge asilimi 90 ni ccm, ngoja wakomoe ili hali mkataba ni null and void ab nitio kwa kilatini, Trustee hana mamlaka ya kukasimisha mali za nchi- she is acting utra vires kama wanavyosena wenyewe- beyond the scope of her autroity. Serikali na bunge ni la Jamhuri ya Muungano, kinacho gawiwa kwa DP word ni mali ya Tanganyika- mali za zanzibar hazimo, halafu serikali ya Tanganyika haijaridhia chochote, sasa ngoja, kama hawa waarabu ni wajinga, ngoja wasaign , halafu mkataba uongozwe kwa sheria za uingereza muone watakavyo pigwa china kwa njia rahisi sana- kwamba serikali ya Jamuhuri haikuwa na mamlaka ya kukasimisha mali za Tanganyika bila ridhaa zao... ndio maana watu wanasema kuwa serikali tatu ni muhimu- ccm pazeni shingo, uzuri ni sheria za uingereza zitatumika. Manguko mtakuwemo kwenye historia tu mtake msitale kama munaongozwa na PhD ushwara.