Swali gani hupendi kuulizwa?

Au pale unapoenda kuomba kazi kwenye kampuni ya ulinzi kwenda kulinda Godown tandale huko kisha wanakuuliza kama unajua kiingereza, utadhani vibaka wa Tandale wana PHD ama wametoka ughaibuni!
 
Sipendi maswali ya konda. Unatoa nauli anakuuliza wangapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…