Swali gani hupendi kuulizwa?

Swali gani hupendi kuulizwa?

Wewe kabila gani,

Mtu akiniuliza hivyo tu, au hata nikimsikia kwa pembeni akiuliza hivo, namuona ni mtu fulani hivi yuko nyuma sana.
hasa katika mazingira ya kuhitaji msaada, and then mtu anakurupuka "we kabila gani"
Ukimwambia mimi sina kabila, utasikia, "utakosaje kabila bwana"
Ukimwambia basi mimi msukuma, au mimi mpare au mimi mmasai au mimi mnyatulu,
utamsikia akitaka akusemeshe kwa lugha ya kabila ulilotaja,
Asijue wengine tumezaliwa dar, tumesoma ujerumani,
Mara nyingi tu huwa tunashinda Hong kong kwenye maswala ya kibiashara na jioni tunaenda kupumzika Paris.
Kwahiyo hatujui kimatumbi hata cha kuombea nyapu.
 
sa ushasema kwa mtu, we utafunguaje mlango bila kujua ni nani, ila anyway mi sifanyi hivyo cause sikai uswahilini
Niende sehemu nipige Hodiiiiii afu mtu aropoke tu we nani ??? Inqniudhi sana
 
Ha ha ha hiyo ya pili nimekutana nayo kwa demu wa cbe.. Ana njaa balaa
1. Unafanya kazi gani?
2. Utaweza kunihudumia kweli? Maana mimi nina shida nyingi sana.
 
Back
Top Bottom