TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Na wewe umeolewa?Mkuu umeoa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe umeolewa?Mkuu umeoa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maisha yanasemaje?[emoji2356]wtf
[emoji23][emoji23][emoji23] hatari sana mkuuUnapokutana na MTU mliyepotezana muda mrefu afu anajua darasani ulikuwa fresh akuulize kwahiyo sasa hivi upo wapi? Huku huna nyuma wala mbele
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafanya nini sasa hivi
[emoji16][emoji16][emoji16] utachapwa binamuKwani unafanya nini sasa hivi binamu?
[emoji2398]troublemaker 2019. all right received.
[emoji16][emoji16][emoji16] utachapwa binamu
Jamaa wa wapi binamu ngoja nikuchape ndio utajua inauma au haiumiNa yule jamaa au wewe, kama ni wewe fimbo ya binamu haiumi...
[emoji2398]troublemaker 2019. all right received.
Sipendi kuulizwa kama nina elfu ya karibuHABARI
kama mada inavyo sema hapo juu ni swali gani ambalo ukiulizwa labda linakupa hasira au lina kuwa lime kutoa kwenye mood,
SWALI LA AINA YOYOTE ILE.
Mfano kama mimi;
1: Sipendi mtu aniulize personal issue zangu huwa na change ghafla.
2: Kuniambia saizi naona una pesa huwa nachukia sana
3: Hivi unakunywaga pombe? (na ananiona niko bar)
4: Mademu wako hawajambo (wakati unakuta niko single)
5: Wewe kabila gani?
HEBU FUNGUKA NA WEWE.