Utajua wewe
JF-Expert Member
- Feb 20, 2024
- 928
- 1,836
Bwana yesu asifiwe wanaJF ,
Bila kupepesa macho nikiwa katika hatua za mwisho kabisa za kumaliza kikundi hichi kiovu.
Swali langu nawaachia
Mbona sisi wakristo tulioshika neno (Watakatifu) tukikemea Mapepo kwa Jina la Yesu yanatoka ,hii halitoshi kwa nyie kuamini?
Bila kupepesa macho nikiwa katika hatua za mwisho kabisa za kumaliza kikundi hichi kiovu.
Swali langu nawaachia
Mbona sisi wakristo tulioshika neno (Watakatifu) tukikemea Mapepo kwa Jina la Yesu yanatoka ,hii halitoshi kwa nyie kuamini?