Swali gumu kwa Atheist

Swali gumu kwa Atheist

Hakuna Binadamu yeyote mwenye uwezo wa kuumba hata sisimizi, kitendo cha uwepo wa Yesu kabla ya uumbaji na kuhusika katika uumbaji ni jibu tosha hakika ni Yesu ni Mungu.
Hivi ndy nilikuwa nasubiria unijibu kuwa YESU ni Mungu. haya swali langu ni hili ikiwa YESU ni Mungu je kipindi YESU amekufa na kwenda kuzikwa ule muda dunia ilikuwa inaendelea kuwepo bila ya uwepo wa mungu, bila ya mamlaka ya mungu Kwasababu mungu amefariki muda huo si ndio maana yake?
 
Hakika nawaambia, amini usiamini, wanaokemea mapepo na kutoka wana nguvu zao za kijadi wakijificha na Biblia. Angalia mafuta ya upako na maji, ukionyeshwa mambo kupitia ulimwengu wa roho utashangaa. Yesu ni kiini macho tu.
 
Hivi ndy nilikuwa nasubiria unijibu kuwa YESU ni Mungu. haya swali langu ni hili ikiwa YESU ni Mungu je kipindi YESU amekufa na kwenda kuzikwa ule muda dunia ilikuwa inaendelea kuwepo bila ya uwepo wa mungu, bila ya mamlaka ya mungu Kwasababu mungu amefariki muda huo si ndio maana yake?
Somo la utatu mtakatifu "Mungu katika nafsi 3" linakuhusu, na ni pana sana kukujuza litalohitaji ujifunze kwa kina sana, bila shaka uzi wake umo humu JF utafute uuelewe utakusaidia kwanini Yesu alihusika kama Binadamu akasulibiwa akateswa na kuuwawa msalabani ili Binadamu wapate wokovu.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Somo la utatu mtakatifu "Mungu katika nafsi 3" linakuhusu, na ni pana sana kukujuza litalohitaji ujifunze kwa kina sana, bila shaka uzi wake umo humu JF utafute uuelewe utakusaidia kwanini Yesu alihusika kama Binadamu akasulibiwa akateswa na kuuwawa msalabani ili Binadamu wapate wokovu.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Hujanijibu Kwasababu umesema YESU ni Mungu sijakataa na sijakataa kama ALIKUFA na kufufuka pia sijakataa swali langu ni kuwa kipindi amekufa dunia ilikuwa inaendeshwa na nani?
 
Hujanijibu Kwasababu umesema YESU ni Mungu sijakataa na sijakataa kama ALIKUFA na kufufuka pia sijakataa swali langu ni kuwa kipindi amekufa dunia ilikuwa inaendeshwa na nani?
Yai la kuku wa kienyeji ni reference nzuri sana kujijibu we mwenyewe, ni 1 ila lina muunganiko wa Ganda, nyama nyeupe na kiini, Je kifaranga kinapokuwa kinatotolewa na ganda la nnje kuvunjika huwa hakiko hai au bado huendelea kuwa hai? Je Yesu alipokuwa amekufa Yehova na Roho Mtakatifu walikuwa wamekufa? Kajifunze tena vizuri somo la utatu mtakatifu uelewe kwanza.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Yai la kuku wa kienyeji ni reference nzuri sana kujijibu we mwenyewe, ni 1 ila lina muunganiko wa Ganda, nyama nyeupe na kiini, Je kifaranga kinapokuwa kinatotolewa na ganda la nnje kuvunjika huwa hakiko hai au bado huendelea kuwa hai? Je Yesu alipokuwa amekufa Yehova na Roho Mtakatifu walikuwa wamekufa? Kajifunze tena vizuri somo la utatu mtakatifu uelewe kwanza.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Unajua unazunguka sana wewe jibu kama alikuwepo mungu mwengine au kulikuwa hakuna mungu dunia ilijiendesha yenyewe Kwasababu sijakuuliza kuhusu utatu wala umoja Mimi. Just tell alikuwepo au hakuwepo then tuendelee naona unazunguka sana na haujibu swali langu nililokuuliza.
 
Pepo ndio nini hebu thibitisha uwepo wa hilo pepo?
Huenda wazo siyo baya Lakini hajui how to express it....Naongeza Tena PEPO NI NINI? JINA NI NINI? YESU NI NANI? NGUVU NI NINI? nimeongeza tu Maswali kwa ndugu yangu hapa Ili usichoke
 
Back
Top Bottom