Utajua wewe
JF-Expert Member
- Feb 20, 2024
- 928
- 1,836
Hili nalo ni swali Sasa!? pepo Gani,maombi yenu yameegemea katika Hali ya kufikirika na manafanya mambo katika Hali ya kinadharia zaidi kiasi kwamba ni ngumu kuthibitisha kisayansi juu ya hayo ni mapepo,Kama mna maombi nendeni mhimbili,Bugando na kcmBwana yesu asifiwe wanajf ,
Bila kupepesa macho nikiwa katika hatua za mwisho kabisa za kumaliza kikundi hichi kiovu.
swali langu nawaachia
Mbona sisi wakristo tulioshika neno( watakatifu) tukikemea Mapepo kwa jina la yesu yanatoka ,hii halitoshi kwa nyie kuamini ?
Wanasema nakabia juu sana😂😂😂
Swali gumu watajificha wote.
Japo mi si atheist bt hapa hamna hoja.Bwana yesu asifiwe wanajf ,
Bila kupepesa macho nikiwa katika hatua za mwisho kabisa za kumaliza kikundi hichi kiovu.
swali langu nawaachia
Mbona sisi wakristo tulioshika neno( watakatifu) tukikemea Mapepo kwa jina la yesu yanatoka ,hii halitoshi kwa nyie kuamini ?
Kiumbe hai chochote hujua vizuri sana jina la Yesu linavyotiisha bahari ikatulia na nguvu zote za giza.min -me MWENYEWE ANAJUA JINSI JINA LA YESU KRISTO LILIVYO NA NGUVU SEMA NDIO HIVYO KICHWA YAKE NGUMU KAMA GOLOLI ZA KARASHA
Malizia unachotaka kusemaWewe ni mpumbavu Sana kama iyo ndiyo hoja yako na sitoshangaa kama upo CCM
Usijiulize sana mkuu hii punda inaita babu yake pepo...Pepo ndio nini hebu thibitisha uwepo wa hilo pepo?
Vipi wale wanaotumia english, jina lina change ? Explanation behind ni ipi yaniBwana yesu asifiwe wanajf ,
Bila kupepesa macho nikiwa katika hatua za mwisho kabisa za kumaliza kikundi hichi kiovu.
Swali langu nawaachia
Mbona sisi wakristo tulioshika neno (Watakatifu) tukikemea Mapepo kwa Jina la Yesu yanatoka ,hii halitoshi kwa nyie kuamini?
Mzee hapa umejibu kama division foo studentHili nalo ni swali Sasa!? pepo Gani,maombi yenu yameegemea katika Hali ya kufikirika na manafanya mambo katika Hali ya kinadharia zaidi kiasi kwamba ni ngumu kuthibitisha kisayansi juu ya hayo ni mapepo,Kama mna maombi nendeni mhimbili,Bugando na kcm
Kwanza pole sana kwa kukosa maarifakama hilo jina lingekuwa linaponya kusingekuwa na wagonjwa,hakuna mtu angekubali kwenda hospital akatumie muda na gharama wakati kuna jina akitajiwa tu anatibika!..
acheni makeke na uzwazwa hakuna pepo,nawachukulia wanaoanguka hivyo ni watu wenye matatizo ya afya ya akili na wengine ni maigizo tu!.