Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, wameguswa tu, nusu ya wayahudi wamewahi kuchinjwa na warumi, nyumba zote kuchomwa Moto, masalia kusambazwa duniani, lakini leo Rumi haipo, Israel Ipo, na itakuwepo hadi kiyamaJuzi wamepigwa na wanamgambo.Wametandikwa sawa sawa.
Mungu huyo kama anawalinda watu wote bila ubaguzi, Alishindwaje kuwanusuru na kuwaokoa waisraeli wasishambuliwe na wapalestina?Umeandika kweli na ukweli unauma. Hutapata wachangiaji huu uzi.Mungu yupo,anawalinda binadamu wote bila ubaguzi.
Mungu huyo Hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.Uko nje ya mada.Mungu yupo.
YupoMungu huyo Hayupo
ASANTE SANAnlkua nakuheshimu sana ujue
ila acha niendelee kukuheshimu 😂😂
Umeandika kweli na ukweli unauma. Hutapata wachangiaji huu uzi.Mungu yupo,anawalinda binadamu wote bila ubaguzi.
Mkuu,Yupo
Luka 6:12
Ikawa katika siku hizo Yesu alikwenda mlimani kuomba, akakesha usiku kucha akimwomba Mungu.