Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #41
Shabiki wa Rasta Farai?!Anajaribu kujiweka watofauti aslongest yeye ni Msanii lazima afanye Mambo tofauti sababu inambidi awe hivyo,
kumuongelea tu inatosha kuwa shabiki yake damu damu.
hahahahaha wauza viatu lazima wanamchukia sana huyu Jamaa.
Doh ivo eeNi mwanamashairi bora zaidi tanzania, kutokuvaa viatu ni uamuzi wake binafsi
Hahahahaha Mungu anakuona penda vya kwenu!Mimi na wasaniii wa kibongo ni paka na panyaaa
Peku ni peku tu na weweAu mnazungumzia peku ya kondom
Naongelea Bare Feet not bare duduAu mnazungumzia peku ya kondom
aisee...inaweza kua namna yake tu ameamuaHongera Sana MWIJAKU na NICOLE KWA KUFUNGA NDOA KWENYE WIMBO WA KIKI.
-Mrisho Mpoto ni Mchumia tumbo flani hivi ambaye kapewa masharti na mganga hasivae viatu ili aendelee kupata mali,anatuzuga kwamba kutembea peku ni afya sasa kama anajali afya mwili wake asingeuachia namna ile.
Hahahahah hongeraAina ya mashairi yake mm naweza tunga nyimbo 700 per one week
Ivo ee?Ana zuga tu huyo namjua vizuri tu anaacha viatu kwenye gari akiona mkusanyiko wa watu.
Kwahiyo? !Mume wa mtu huyo
HahahahahaWakati ana copy mashairi ya shaban Robert huo ubora kautoa wapi
Chee!Kuna siku wajuvi wa humu JF walidai jamaa kutembea peku, ni mambo ya ndagu
WoiSometime anakua kama mwanamke
DohSweet heart Honey Money Penny
Mrisho Mpoto ni kijana mdogo tu aliyeamua kufuata nyayo za nguli wa Sanaa za maonesho, Dr Mgunga wa Mnyenyelwa. Huyu alikuwa mwalimu wa Sanaa, Maigizo na lugha pale chuoni mlimani. Aliandika jina lake hapa nchini baada ya kifo cha Mwl Nyerere aliporindimisha kibao kiitwacho "Nenda Mwalimu" akina na kikundi cha Parapanda Arts. Ngoma hii haikueleweka vema maana ilijaa tashtiti, tafsida,_ki za masharti, majigambo na simanzi kwa wakati mmoja. Mgunga hakueleweka vyema.
Hapo ndipo mwanagenzi Mrisho Mpoto alipoazima jani. Hana ufundi wa Mgunga, lakini anaufundi wa biashara. Siri ya Mrisho ni kuchanganya mashairi, tashtiti, tamathali, ngeli, ghani na majigambo pamoja na vionjo vya muziki wa kizazi kipya na wanamuziki wake. Hii imemsaidia kwa kiasi Fulani maana wapenzi wa muziki hasa vijana wanavutiwa na kazi za Mrisho.
Kwa nini havai viatu, kwa nini anavaa gunia/magunia na ngozi (wakati mwingine)?. Yeye husema anaenzi tamaduni za Kitanzania. Nionavyo amekusudia Hii iwe "brand" yake. Amekusudia kuwa na muziki tofauti na mavazi tofauti. Anakusudia kuuza mavazi haya pia japo kutovaa viatu naona itakuwa ngumu kwake kupata wafuasi. Ni mthubutu ndio maana tunamjadili.Ametazama mbali.
Atafanikiwa kutambuliwa kama muasisi (pioneer) wa aina ya muziki anaofanya na mavazi anayovaa? Ni swali linalosubiri muda kupata majibu.
Sawa Lawyer wa MpotoWatanzania tuna husda sana.....!!!
Sijui ni kwanini tu nashindwa kutambua mipaka yetu..!!!
Sijui ni kwanini tunapenda ku dictate maisha ya watu..!!
Kama yeye ana enjoy kutembea peku ni sawa...as long as huko kutembea peku hakuingiliani na uhuru wa wengine..!!!!
Amen brother
AyaNdivyo alivyoamua kuji brand..