Swali: Jamani Danga ni Nani?!

Swali: Jamani Danga ni Nani?!

Hapo umekufuru sana tena sana waombe radhi wakristu ukikaidi jiandae kwa pigo usilolidhani umetoka nje ya mada haipendezi kutaja imani za watu hivyo
njoo mpige popote
 
kama zako zilivyochomoka zote
Ulishaona wapi mwanamke ni king bila kuwa queen au jikeshupaa? Acha usaidiwe kabla ya kuokota makopo Barabarani! Jaribu kurudisha heshima kwa kuacha kudanga (udangaji huenda sambamba na matumizi ya nganda)
 
Danga ktk kiswahili fasaha ni maziwa ya mwanzo ya mzazi, yale ya njano njano.

Kimtaani danga ni msamiati mpya wa buzi kama sijakosea, anayedanga ni malaya.
 
Wakati ukitimu utapambana nao mimi nimeshauri tu wala sishindani nimekukumbusha tu ingawa mwisho wa yote ni wewe kuukubali au kuukataa ushauri
Ulichonishauri nakijua kabla wewe kuzaliwa
 
Back
Top Bottom