Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #81
kwahiyo wakwe zako unawaita Madanga?Danga ni mjomba wa bibi mzaa baba upande wa ukweni
Hapo umekufuru sana tena sana waombe radhi wakristu ukikaidi jiandae kwa pigo usilolidhani umetoka nje ya mada haipendezi kutaja imani za watu hivyoEndelea kusubiri kama wakristo wanavyomsubiria Yesu
Nitakuja tu
mmmh fungua tu siledi mwenyewe utapata mpaka na picha!Ukipata maana, naomba uniulizie na maana ya "Kudamshi"
njoo mpige popoteHapo umekufuru sana tena sana waombe radhi wakristu ukikaidi jiandae kwa pigo usilolidhani umetoka nje ya mada haipendezi kutaja imani za watu hivyo
hahahaha uuuuwiDanga niKihindi.Wenyewe wanasema Danga Chee.
Danga ni mtu anayejiuza.
dohKwa bei yoyote ile.
sawaChura
Wakati ukitimu utapambana nao mimi nimeshauri tu wala sishindani nimekukumbusha tu ingawa mwisho wa yote ni wewe kuukubali au kuukataa ushaurinjoo mpige popote
Eeeh!mmmh fungua tu siledi mwenyewe utapata mpaka na picha!
Ulishaona wapi mwanamke ni king bila kuwa queen au jikeshupaa? Acha usaidiwe kabla ya kuokota makopo Barabarani! Jaribu kurudisha heshima kwa kuacha kudanga (udangaji huenda sambamba na matumizi ya nganda)kama zako zilivyochomoka zote
ππππππ mbavuzanguHahahahaha yeleuuuwi
tunataka mana ingine
Huwezi ita kila mwanamke anaenyonyesha Danga huo ugomvi wake hamtamaliza mtafungana
Ni sawa na kumwita mama yako mzazi au mkeo au dadako Danga
DangaMkuu inaitwa Danga au Dang'a?
Ulichonishauri nakijua kabla wewe kuzaliwaWakati ukitimu utapambana nao mimi nimeshauri tu wala sishindani nimekukumbusha tu ingawa mwisho wa yote ni wewe kuukubali au kuukataa ushauri