Hongera kweli free p zinasakwa kwa udi na uvumba! Ubarikiwe ila kwa huyo Ndomu ya ulimi muhimunarumuk ujasiri wa kimasai huu. Unampandishia mori bidada huku umekamata sime?,
Hii mori inafaa ukiwa porini mbele yako kuna Simba mnagombea mboga jamii ya swala, sio kwa mtoto wa kike, tena mrembo, mcheshi, mkarimu, mwingi wa bashasha kama honey Money Penny
Taratibu mkuu, sime na mkuki wa simu kwenye kundi la wananchi sio vyema
Thaaaank you Honeynarumuk ujasiri wa kimasai huu. Unampandishia mori bidada huku umekamata sime?,
Hii mori inafaa ukiwa porini mbele yako kuna Simba mnagombea mboga jamii ya swala, sio kwa mtoto wa kike, tena mrembo, mcheshi, mkarimu, mwingi wa bashasha kama honey Money Penny
Taratibu mkuu, sime na mkuki wa simu kwenye kundi la wananchi sio vyema
Hongera kweli free p zinasakwa kwa udi na uvumba! Ubarikiwe ila kwa huyo Ndomu ya ulimi muhimu
utapata tabu sana... kipigo chako hakitatofautiana na mjinga mwengine alienitukana Jamii Forum.. ngoja naingia Bongo wiki ijayo utashangaa! endeleza matusi... sheria za mtandao zinakuhusuHongera kweli free p zinasakwa kwa udi na uvumba! Ubarikiwe ila kwa huyo Ndomu ya ulimi muhimu
Huyo Lemutuz wa JF tushamjua!Kwamba kuna guideline zimekataza free p na narumuk amekubaliana na hizi gold standards. Na kwamba kuna statistical significance inayoonesha correlation ya kukemea ujinga na free p. Noma
cc Honey Money Penny
Hujambo kwa kujishaua nitakupa na location! Upo nchi ipi king wa kudanga hata pretty kind hafui dafu kwakoutapata tabu sana... kipigo chako hakitatofautiana na mjinga mwengine alienitukana Jamii Forum.. ngoja naingia Bongo wiki ijayo utashangaa! endeleza matusi... sheria za mtandao zinakuhusu
Huyo Lemutuz wa JF tushamjua!
asubirie nikirudi Bongo aone shughuli yake
akamwulize Dadake nilichomfanya mpaka leo haandiki JF
hahahahahaWalau nimejua kwamba LeMutuz ni cheo kama vile Ukurugenzi wa taasisi fulani, ama uenyekiti wa kamati fulani. Hatari sana
sawa nashukuruMoney Penny jifunze uandishi mzuri dada. Ni hayo tu. Asante na usiku mwema.
nikuulize swali?Pumbavu moja linalodhani kumpa mwanamke kila kitu na kutumia hela nyingi kwa mwanamke basi huo ndo uanaume..na pia pumbavu hili ndo wanawake wanaliita danga
Situmiagi hela nyingi kwa mwanamke wangu labda iwe shida ya mhm tena mhm kweli...halafu sijawahi kuona shida kusema hela ina budget yake au sina ..na kupendana haina maana unatoa tu hela hata hela ya mkopo ili mradi mkeo au mpenzi wako asuke nywele za gharama na aridhike...Note:nina mwanamke tunayependana kwelikweli, kumpenda mwanamke na kuwa zezeta kwa mwanamke ni vitu viwili tofautinikuulize swali?
wewe ukiwa na mwanamke wako kabisa mmependana umemuwowa, unatumia hela kidogo au nyingi?
kama unatumia nyingi kwa mwanamke wako je kunakufanya wewe kuwa danga?
basi nyoosha sentesi ya kwanza ikae vizuri bossSitumiagi hela nyingi kwa mwanamke wangu labda iwe shida ya mhm tena mhm kweli...halafu sijawahi kuona shida kusema hela ina budget yake au sina ..na kupendana haina maana unatoa tu hela hata hela ya mkopo ili mradi mkeo au mpenzi wako asuke nywele za gharama na aridhike...Note:nina mwanamke tunayependana kwelikweli, kumpenda mwanamke na kuwa zezeta kwa mwanamke ni vitu viwili tofauti
Mume kwa mkewe sio danga ila kwa mchepuko anaweza kuwa danga..ukiamua kununua gari kwa mkeo huitwi danga ila ukinunua gari kwa mchepuko unaweza kuitwa danga na mchepuko wako.Mke ana thamani kubwa na anastahili care ingawa sio kila kitu inabidi umpe lakini anastahili huduma za msingi bila manyanyaso bila kuomba..basi nyoosha sentesi ya kwanza ikae vizuri boss
maana kuwa Waume wenye ndoa zao za miaka hata 50 wanatumia hela zao zote na maisha yao yote kwa wake na watoto zao!
sasa sijui hao utawaita Danga?!
akizizoea huduma za msingi... akataka za ziada hutampa?Mume kwa mkewe sio danga ila kwa mchepuko anaweza kuwa danga..ukiamua kununua gari kwa mkeo huitwi danga ila ukinunua gari kwa mchepuko unaweza kuitwa danga na mchepuko wako.Mke ana thamani kubwa na anastahili care ingawa sio kila kitu inabidi umpe lakini anastahili huduma za msingi bila manyanyaso bila kuomba..
Inategemea nyingine nitampa nyingine simpi...kuna umuhimu mke wangu kujua thamani ya pesa ..hii itanisaidia mwenyewe ikitokea kipato kimeshuka au nimekufa na yeye ndo kabakia na miradi yangu...kuna bitu ukimzoesha mwanamke halafu ikifika stage humpi nadhani migogoro itaanza wengi wenu hamsomagi alama za nyakati,ubaya wa vitu visivyo vya msingi uwaga so addictive.akizizoea huduma za msingi... akataka za ziada hutampa?
mmmh! aiya!Inategemea nyingine nitampa nyingine simpi...kuna umuhimu mke wangu kujua thamani ya pesa ..hii itanisaidia mwenyewe ikitokea kipato kimeshuka au nimekufa na yeye ndo kabakia na miradi yangu...kuna bitu ukimzoesha mwanamke halafu ikifika stage humpi nadhani migogoro itaanza wengi wenu hamsomagi alama za nyakati,ubaya wa vitu visivyo vya msingi uwaga so addictive.