Hongera kweli free p zinasakwa kwa udi na uvumba! Ubarikiwe ila kwa huyo Ndomu ya ulimi muhimunarumuk ujasiri wa kimasai huu. Unampandishia mori bidada huku umekamata sime?,
Hii mori inafaa ukiwa porini mbele yako kuna Simba mnagombea mboga jamii ya swala, sio kwa mtoto wa kike, tena mrembo, mcheshi, mkarimu, mwingi wa bashasha kama honey Money Penny
Taratibu mkuu, sime na mkuki wa simu kwenye kundi la wananchi sio vyema