Swali: Je ni kitu gani ambacho familia au wazazi wako hawajui kukuhusu

Swali: Je ni kitu gani ambacho familia au wazazi wako hawajui kukuhusu

ProMagufuli

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2021
Posts
253
Reaction score
270
Hi guys, Mambo vipi?
Mada inajieleza. From other social network.

Binafsi hawajui kuwa nasota kiasi cha kutaka kurudisha mpira kwa beki. Aha


Twende kazi na wengine.
 
Nimewai kumiliki shamba lenye michwa na nikawa na uwezo wa kuamlisha michwa juu ya mazao niliyopanda ile mazao au isile na nilipokuwa nikiulizwa nilikuwa nasema "kuleni tu"
Kwaherini naishia hapa mimi..
 
Back
Top Bottom