ProMagufuli
JF-Expert Member
- Apr 6, 2021
- 253
- 270
Usikute wanajua ila wameamua kukusikilizia tu maana ushabadili akili wakikuanza unaweza ibaka amani iliyopo..πFamilia yangu haijui napiga Konyagi kubwa pekee yangu na bangi pia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Familia yangu haijui napiga Konyagi kubwa pekee yangu na bangi pia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] n watu wa siri mnoo.Cc:wapiga nyeto wote
Sema tu mkuu hatukupigi banNataman kukisema ila acha tu iendelee kuwa siri na humu pia wasijue
Inatisha alaf ni mambo niliyofanya huko nyuma.Sema tu mkuu hatukupigi ban
Taja hata kwa codes atakaeelewa na aelewe.Inatisha alaf ni mambo niliyofanya huko nyuma.
Nimewai kumiliki shamba lenye michwa na nikawa na uwezo wa kuamlisha michwa juu ya mazao niliyopanda ile mazao au isile na nilipokuwa nikiulizwa nilikuwa nasema "kuleni tu"Taja hata kwa codes atakaeelewa na aelewe.
Kwaherini naishia hapa mimi..Nimewai kumiliki shamba lenye michwa na nikawa na uwezo wa kuamlisha michwa juu ya mazao niliyopanda ile mazao au isile na nilipokuwa nikiulizwa nilikuwa nasema "kuleni tu"
Kwann tena?Kwaherini naishia hapa mimi..
Inatisha mkuu mi na ukorofi wangu sijawahi fikiri Kuna vitu vya namna hii kiukwelikweli!Kwann tena?
πππππSema tu mkuu hatukupigi ban
machache tu. Funguka.Mimi na mengi tu