SWALI : Je umeshawahi kulala na mpenzi ukatamani pakuche haraka uondoke/aondoke?

Ilinitokeaga nilipata Mchuchu mwembamba hadi anatisha. Yaani alienda kwenye ukuta akasimama nikahisi labda ni nyufa ya nyumba kwa jinsi alivyokondeana then tena ana sauti Nene kama ya dume la mbegu. Yaani akiongea utadhani anaongelea kwenye mtungi.

Nikapiga moyo konde nikaanza kupiga show...demu analia kwa sauti ya kiume nzito (huuuumble) hadi masela nje wakahisi labda namcheda mwanaume mwenzangu. Hatari sana!

Siku hiyo sikulala maana nilikuwa namuogopa nihahisi anaweza kunipa mataizi yao yale ya kuzima taaa akiwa kitandani. Ulikuwa usiku mrefu sana kwangu. Jicho wazi namchunga Mchuchu ili akibadilika tu nipite na lile dirisha mbavu za mbwa.
 
Mkuu pole uyo jamaa inaonyesha dushe yake pia imeshazoea pilipili
 
Sio bure ww utakuwa na laana aisee maana mh nimeshindwa kujizui kucheka hapa msibani dah.
 
Wala hautajutia mkuu.. Nakuhakikishia mkuu

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
Wewe hujui kama huu uzi nimeupenda wa majuto, eti hawalali usiku
 
Wewe hujui kama huu uzi nimeupenda wa majuto, eti hawalali usiku
Hata wewe hautolala,m kwa huo utamu utakaopata

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…