Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

hahaha yani anza kabisa mazoezi maana.....[emoji125][emoji125][emoji125][emoji17][emoji17][emoji17]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]maana tutakimbiana itakuwa balaaaa sasa
 
Tatizo tunakuwaga tunawaumba kichwani kumbe kiuhalisiaa tofauti,,mi siku hizi nimeacha kabisa kumfikiria mtu ni mzuriii hapanaa nikimuumba kichwani na kumuona live unachokuta sicho
 
Kumbe upo cheap Sanaa!
 
Hafu mwenyewe utakuta unasura ka tako la dreva wa semi trela za kwenda kongo + Vigimbi kama banio la sufuria (Mpanti)
Kama vile umeota, kabaya hako kakavu kama ukoko wa ugali wa udaga.

Maneno yangekuwa yanaendana na mtu kangekuwa karembo sana, but overused kwa kingereza tunasema ni regular/secon'hand...!

Pole zake mr. Matunguri.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Ila hata mi staki kuonana kwa surprise. Nitumie picha kwanza. Kwenda kuonana na babangu siwezi.
Picha hata Mm ntakutumia ya babaangu... Ila video call siwez mpa baba aongee na wew hahahaaaaaa
 
Ila wewe shem katili sana yani mtu umemtoa Dar mpaka Moro na umemkimbia
Huko mbele nitakupa story nimemtoa mtu Mwanza Moro na nikamkimbia dkk za majeruhi
 
Tukikaa pale cruiz na tukipata kitu kitamu baasi hofu zitaisha[emoji12]
Lol. Na wewe unakuja Cruz In? Tena pale ndo rahisi kukupotezea. Maana ntajifanya nimeitwa na kaka zangu kwenye meza yao kumbe ndo bye bye sirudi ivoo
 
Ee kama ye mwenyewe anajikimbia anaweka picha za wadogo zake!na mi namkimbia nikimuona.bora hata akwambie zile sio picha zangu.najipongeza kumkacha maana ningechoreka na nilivyo HB
Hahahahaha kuna wale hata picha huoni anataka muonane tu hao ndo unacheza kwa mipangooo jinsi ya kumla direction ili umuoneee umkimbieeee
 
Hahahaa. Vibaya hivyo.

We dawa unapiga moyo konde halafu unaonana naye ili upate vingi vya kucheka sababu kama kwa mbali anakuwa hivyo ukimsogelea si ndio unavipata vingi. Hahahaaaaa.
Dada naweza kutana naye nikaaanza kucheka huon kama majaribu hayooo
 
Tatizo tunakuwaga tunawaumba kichwani kumbe kiuhalisiaa tofauti,,mi siku hizi nimeacha kabisa kumfikiria mtu ni mzuriii hapanaa nikimuumba kichwani na kumuona live unachokuta sicho
Haswaaa. Mim tukutane tu sahv kuImagn No, au nipate picha yko. Kama ukinitumia picha sio af tukakutana nakuchana apo apo af natembea
 
Lkn ukipiga kazi nzuri huwa wanasahau machaguo yao, ongezea na mshiko...utaitwa baby[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wanabadilika mbona...toto unalichukua halija kaa vizuri unalipiga na vanguard,,,, halijakaa vizuri unalipandisha mwewe to dubai...hahaha hapo hata kama wew ni msukule lazima akuelewe japo atakucheat kiaina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…