Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

hatar sana mbon unatutisha cha mdeko
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Dada niko nafanya mazoezi hapa ya mbio ndefu maana tumetahadharishwa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hv vitu bado vinatookea mpaka kipindi hiki????.... Ckuhizi kila mtu ana smart phone... So video call ndio solution... Siwez kutana na mtu bila kumpiigia video call kwanza
Wengine hawana smart 4n mkuuu
 
Ulivyo kutana na mshana Jr hujamuona amevaa kaniki nyekundu na nyeusi anaenda kuchuma dawa ya ulonzi... [emoji23]
Huyo yawezekana aliniroga maana namuona mzur tu alafu nampenda.mpaka naumwaaaa
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]poleee sana shoo kunanmambo mengine ni balaaa mtu anasaut nzur unaweza kuzan handsome kumbeee mweee mweeeh mweeeh
 
Kazana dada mambo haya yanahitaji ujipangeee ukitoka nduki nyumaaa unaacha vumbiii unatoka kasi vuuuuuuuup break mpaka home
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] asee ni mnenee huyo af mim kadogo assume kipind Aslay ameimba naenda kusema kwa mama(nlikuwa kadogo hivo) af na Isha Mashauz au Khadija Kopa hivi si angeniona mwanae[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Najua Nyerer square ndo maeneo maalumu kwa ajili ya kukimbia watu panafaaa sana kwa kweli
 
Hahahahahahaha jamani demiss we lol nimecheka kifala....
 
Nazitafuta tunguli za kukukamata, ukiniona tu unapi ganzi hapo hapo
Mweeeh mweeeh huoni kama Mshana amefunga za kwakee hapaaa sijui kama zitafua dafu alafu naweza pote fyuuuuuup kama maninja wa kikorea[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Demiss kaamua kutudhalilisha toka jana anatusema wanaume. Sa mwanaume wa dar atachomekeaje tshirt kwenye kaptula, kwan anaenda kucheza gofu!!!
 
Mm nahisi hujiamini kama ni mzuri ndio sababu huwa unakimbia,ktk thread zako zote hujawahi sema umekimbiwa,unajihami mapemaa
Oooh subir na siku ya mm kukimbiwaa nitawaletea story mkuu bado sijafika wala usiniharakishee tulizaaa ngoko kwanza sawaaaa mambo bado yanakujaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…