Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Kuna bonge alinitoaaa nyumban mpaka kigamboni eti pametuliaa alikuwaa na maneno mengi na kujisifiaa balaaa basi bwana tukafika kigmboni jamaa kajikoki mbayaa kufika chumbani nikaonaa aibu mm nikasema poaa tu ajali kazini.......bwana weee sisemi uongo mtoto wa kike nikaanza kazi zangu nilizofundwa ile najaribu kuweka hako kafilimbi kake mdomoni haooo wazungu kuanziaa hapo mpaka naondokaa dudu lilikuwa limelala na nilimfanyiaa yote lakin wap.....kuanzia siku hiyo mabonge na mm ni paka na panya
Aisee...tunaonewa sanaa mabonge,hakuna anaetusifia hata mmoja
 
Wanabadilika mbona...toto unalichukua halija kaa vizuri unalipiga na vanguard,,,, halijakaa vizuri unalipandisha mwewe to dubai...hahaha hapo hata kama wew ni msukule lazima akuelewe japo atakucheat kiaina
Mkuu pesa ni kila kitu, Remi alikula k za mataifa karibu yote
 
Back
Top Bottom