Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Kama vile umeota, kabaya hako kakavu kama ukoko wa ugali wa udaga.

Maneno yangekuwa yanaendana na mtu kangekuwa karembo sana, but overused kwa kingereza tunasema ni regular/secon'hand...!

Pole zake mr. Matunguri.
Wanaume wa siku hizi mna shombo balaaa sio kwa chambo hilo
 
Nakumbuka nilipokuwa nasoma mlimani kipindi hicho mtandao maarufu ulikuwa hi5 basi kule nikakutana na kijana mmooja matata yaan pichaa alizokuwa ananitumiaa zilikuwa balaaa mtoto wa kike nikadataa though mi zangu zilikuwa za ukweli,basi bwana siku zikaenda tukawa tushazoena yeye alikuwa anakaa mbezi mi nakaa hall 3 basi siku ya siku akaniambiaa anataka tuonane basi bwana nikamwambiaa anifate chuo na tulipanga tuende kwanza best bites coz ilikuwa mchana for lunch.tukakubaliana mi nikawa nipo sana xcited kuonana na mkaka handsome hatareee yaan inshort alikuwa kakamilika kila idara,basi bwana sikutaka anifate kule hall three nikamwambiaa atanikuta container.Basi mtoto wa kike nikauparaaa balaaa akaniambiaa amekaribia pale udasa basi na mm nikajisogeza kituo cha container ....nikawa nimesimama nikshangaa gari limepaki upande wa pili kama unaelekeaa kule utawala......ili kuwa discover nyeusi full tinted ,akanipigiaa simu nimeshakuonaa njoo upande wa pili uingiee ndani ya gari ,nikavuka ile nafunguaa mlango jaman nikishtukaa balaaaaaa manake nilikutana na mbaba mtu mzima zaidi ya baba angu yaan kwa uogaa nikajijutaa namsalimiaa shikamoo baba akaniambiaaa achaa zako,akagunga milango tuakenda jaman alijuaa kanisa sipo comfortable manake mpka tunafika kule nilkuwa kama msukule na yy alilitambuaa hilo basi tulivyomaliza kulaa akanirudisha akajiongeleshaa weee nikashuka akanipa ela nikarudi zngu room jaman baaada ya hapo nolimblock kilaa sehemu....na sijuwasiliana naye tena



Though baadae nilikuja kumuona kwenye tv flan nikajuaa kazi yake na mpkaa sasa najuaa anapofanya kazi na kitengo alipo ila sijawah mtafutaa!!!
Umeeuka kitu muhimu sana hapa...
 
Mimi pia imewahi kunitokea, kuna kipindi kilikuwa kinarushwa Radio one cha Darfriends nikapata marafiki wengi sana. Basi kuna rafiki yangu mmoja akaniambia atakuja kunitembelea kazini kwangu Maeneo ya Jengo la ushirika Dar, siku ilipofika nikaenda kumsubiri Mnazi mmoja stend mara namuona kaka mmoja meno yako nnje kakaa kisela balaa ananipigia asimu nikataka nisipokee mara akawa ananisogelea akajua ni mimi maana simu inaita akaanza kujichekesha mate yanaruka balaa.

Basi nikaondoka naye hadi kwenye kimgahawa maana ilikuwa mida ya lunch nikanunua chakula tukala anaongea huyo balaa mara ooh uje kunitembelea Mwananyamala nikupeleke beach, mwenzie huku najiuliza atamaliza saa ngapi aondoke? Alipoondoka tu nikadelete namba yake na akawa ananipigia sipokei hadi akachoka. Yaani niliboreka balaaa hadi leo marafiki wa kwenye mtandao sitaki kabisaa.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa si kitambi kinazid mbele kidogo na dushe linafichwa na nyama
Kuna bonge alinitoaaa nyumban mpaka kigamboni eti pametuliaa alikuwaa na maneno mengi na kujisifiaa balaaa basi bwana tukafika kigmboni jamaa kajikoki mbayaa kufika chumbani nikaonaa aibu mm nikasema poaa tu ajali kazini.......bwana weee sisemi uongo mtoto wa kike nikaanza kazi zangu nilizofundwa ile najaribu kuweka hako kafilimbi kake mdomoni haooo wazungu kuanziaa hapo mpaka naondokaa dudu lilikuwa limelala na nilimfanyiaa yote lakin wap.....kuanzia siku hiyo mabonge na mm ni paka na panya
 
Back
Top Bottom