Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Kutuma picha za mtu mwingine ni deal sana, tena unahakikisha unazo nyingi tofauti tofauti na za matukio tofauti tofauti. Sema hizi video call ndio zimetuharibia mambo.
 
Utanikimbia maana mwandiko wa humu na live ni kama huku unamuwaza Uwoya halafu live unakutana na Hadija kopa. Kwanini usitoke mbio sasa
Kama upo kichwan kwangu wifiii yule mkaka wa mbagala alivyonipa sifa nikajua Joh makin kumbeee mweeee mweeeh mburaaaaah
 
🙂Huhuu niliopoa jimama gwa mbegu likataka niunguzia watoto kiunoni. Lilikua li ticha la primary kahama. Wacha niishie hapa bwana
Na ulivyo kadogooo ungezimia kifuani mwakeeee
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]poleee sana shoo kunanmambo mengine ni balaaa mtu anasaut nzur unaweza kuzan handsome kumbeee mweee mweeeh mweeeh
Ni sawa na kulikuwaga mtangazaji wa radio free Groly alikuwa ana sauti nzuri yule dada siku namuona heeeeeee kidogo nikatae Mungu huyu hakupi vyote
 
Kutuma picha za mtu mwingine ni deal sana, tena unahakikisha unazo nyingi tofauti tofauti na za matukio tofauti tofauti. Sema hizi video call ndio zimetuharibia mambo.
Sana jamani. Sema mi najikubali nakupa tu zangu kama ukinikataa basi bwana [emoji23]
 
Kama upo kichwan kwangu wifiii yule mkaka wa mbagala alivyonipa sifa nikajua Joh makin kumbeee mweeee mweeeh mburaaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tatizo tunakuwaga tunawaumba kichwani kumbe kiuhalisiaa tofauti,,mi siku hizi nimeacha kabisa kumfikiria mtu ni mzuriii hapanaa nikimuumba kichwani na kumuona live unachokuta sicho
Kinachofata ni kukimbia na kuacha vumbi na kicheko cha haja
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nakumbuka nilikua naishi vikindu... Kuna kaka mmoja si akapotea namba bana basi tukaanza kuwasiliana...... Mawasiliano yakazidi mpaka akanitongoza..... Anaongea vizuri hatari anaongea kingereza hivi swaga kibaooo nkaona yes huyu mwanaume...... Tukapanga tuonane mbagala stand ya tandika....... Nkawahi kufika pale.... Nimekaa chini naona mtu anakuja huku anapiga simu kibaya alishaniona akaja kukaa nilipokaa....jamani kile Kitu tu lol....... Yaaani ana michunusi kama majipuuu sura nzima mfupi huyohuyo... Kavaa suruwali na koti kapiga mkanda nje Madai yake amevaa suti hahahahaha .....alivoniongelesha nkamwambia nawahi kipindi tutachati..... Niliinuka kwa speed ya chopa akawa ananipigia simu y nimeondoka sijui nini nikamwambia bro you are not my type.... Nikamlima block
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…