Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Halafu nimejifunza jambo. Kutuma picha za mtu mwingine mchezo mzuri sana. Kuna rafiki angu alikuaga anamtumia bwana ake picha zangu. Siku bwana anamwambia waonane. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Akaniambia eti niende mimi nikakataa
Kutuma picha za mtu mwingine ni deal sana, tena unahakikisha unazo nyingi tofauti tofauti na za matukio tofauti tofauti. Sema hizi video call ndio zimetuharibia mambo.
 
Utanikimbia maana mwandiko wa humu na live ni kama huku unamuwaza Uwoya halafu live unakutana na Hadija kopa. Kwanini usitoke mbio sasa
Kama upo kichwan kwangu wifiii yule mkaka wa mbagala alivyonipa sifa nikajua Joh makin kumbeee mweeee mweeeh mburaaaaah
 
🙂Huhuu niliopoa jimama gwa mbegu likataka niunguzia watoto kiunoni. Lilikua li ticha la primary kahama. Wacha niishie hapa bwana
Na ulivyo kadogooo ungezimia kifuani mwakeeee
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]poleee sana shoo kunanmambo mengine ni balaaa mtu anasaut nzur unaweza kuzan handsome kumbeee mweee mweeeh mweeeh
Ni sawa na kulikuwaga mtangazaji wa radio free Groly alikuwa ana sauti nzuri yule dada siku namuona heeeeeee kidogo nikatae Mungu huyu hakupi vyote
 
Kutuma picha za mtu mwingine ni deal sana, tena unahakikisha unazo nyingi tofauti tofauti na za matukio tofauti tofauti. Sema hizi video call ndio zimetuharibia mambo.
Sana jamani. Sema mi najikubali nakupa tu zangu kama ukinikataa basi bwana [emoji23]
 
Kama upo kichwan kwangu wifiii yule mkaka wa mbagala alivyonipa sifa nikajua Joh makin kumbeee mweeee mweeeh mburaaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tatizo tunakuwaga tunawaumba kichwani kumbe kiuhalisiaa tofauti,,mi siku hizi nimeacha kabisa kumfikiria mtu ni mzuriii hapanaa nikimuumba kichwani na kumuona live unachokuta sicho
Kinachofata ni kukimbia na kuacha vumbi na kicheko cha haja
 
Nakumbuka nilipokuwa nasoma mlimani kipindi hicho mtandao maarufu ulikuwa hi5 basi kule nikakutana na kijana mmooja matata yaan pichaa alizokuwa ananitumiaa zilikuwa balaaa mtoto wa kike nikadataa though mi zangu zilikuwa za ukweli,basi bwana siku zikaenda tukawa tushazoena yeye alikuwa anakaa mbezi mi nakaa hall 3 basi siku ya siku akaniambiaa anataka tuonane basi bwana nikamwambiaa anifate chuo na tulipanga tuende kwanza best bites coz ilikuwa mchana for lunch.tukakubaliana mi nikawa nipo sana xcited kuonana na mkaka handsome hatareee yaan inshort alikuwa kakamilika kila idara,basi bwana sikutaka anifate kule hall three nikamwambiaa atanikuta container.Basi mtoto wa kike nikauparaaa balaaa akaniambiaa amekaribia pale udasa basi na mm nikajisogeza kituo cha container ....nikawa nimesimama nikshangaa gari limepaki upande wa pili kama unaelekeaa kule utawala......ili kuwa discover nyeusi full tinted ,akanipigiaa simu nimeshakuonaa njoo upande wa pili uingiee ndani ya gari ,nikavuka ile nafunguaa mlango jaman nikishtukaa balaaaaaa manake nilikutana na mbaba mtu mzima zaidi ya baba angu yaan kwa uogaa nikajijutaa namsalimiaa shikamoo baba akaniambiaaa achaa zako,akagunga milango tuakenda jaman alijuaa kanisa sipo comfortable manake mpka tunafika kule nilkuwa kama msukule na yy alilitambuaa hilo basi tulivyomaliza kulaa akanirudisha akajiongeleshaa weee nikashuka akanipa ela nikarudi zngu room jaman baaada ya hapo nolimblock kilaa sehemu....na sijuwasiliana naye tena



Though baadae nilikuja kumuona kwenye tv flan nikajuaa kazi yake na mpkaa sasa najuaa anapofanya kazi na kitengo alipo ila sijawah mtafutaa!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nakumbuka nilikua naishi vikindu... Kuna kaka mmoja si akapotea namba bana basi tukaanza kuwasiliana...... Mawasiliano yakazidi mpaka akanitongoza..... Anaongea vizuri hatari anaongea kingereza hivi swaga kibaooo nkaona yes huyu mwanaume...... Tukapanga tuonane mbagala stand ya tandika....... Nkawahi kufika pale.... Nimekaa chini naona mtu anakuja huku anapiga simu kibaya alishaniona akaja kukaa nilipokaa....jamani kile Kitu tu lol....... Yaaani ana michunusi kama majipuuu sura nzima mfupi huyohuyo... Kavaa suruwali na koti kapiga mkanda nje Madai yake amevaa suti hahahahaha .....alivoniongelesha nkamwambia nawahi kipindi tutachati..... Niliinuka kwa speed ya chopa akawa ananipigia simu y nimeondoka sijui nini nikamwambia bro you are not my type.... Nikamlima block
 
Back
Top Bottom