Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Ndo hapo sasa unamkuta binti yuko so decent hadi unaona haya kutangaza srea na ilani ya moyo wako siku ya mtoko wa kwanza..kinywaji ataagiza mirinda nyeusi ila siku atakapoenda kibla maweeee...pango la Amboni,mileage zinasoma Zimbabwe jiulize sasa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hayo mambo hayawezi kututokea sie tunaotokea laivu laivu.sasa namba kanipa mwenyewe in person tunaanzaje kukimbiana?,kazi kwenyu madomo zege na wavulia gizani,imagine mtu mzima unafungia safari papuchi mkoa to mkoa na demu
mwenyewe hujawahi hata kumwona,niggas be too desperate.
 
Kweli kabisaaaa
 
Wengi huwa wanahitaji upendo tu hakuna kingine anatamani uwe nae karibu ndicho nilichofanyaa basii wengine nadhani ni wapweke
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…