[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndo hapo sasa unamkuta binti yuko so decent hadi unaona haya kutangaza srea na ilani ya moyo wako siku ya mtoko wa kwanza..kinywaji ataagiza mirinda nyeusi ila siku atakapoenda kibla maweeee...pango la Amboni,mileage zinasoma Zimbabwe jiulize sasa!
Njoo mchumba. Naona bado unataka uchokozi [emoji23][emoji23].Hata kama kweli nisingeandika...
Natafuta wa kuchokoza tu hapa.
Whatsapp nakuja.
Mali ya nani wakati ye ndo mchumba? Labda wewe ndo uwe unataka kuiba mali yakeMwambie huyo kiben 10 wako nitam bashite sasa hivi. Ataanzaje kuita mali za watu mchumba
Unaongelea namba wakati ana mpaka kunitaja pichu yangu. We vipi bwanaUna namba yake ama unaturusha tu roho hapa unashika mapembe?
Una namba yake ama unaturusha tu roho hapa unashika mapembe?
Nipo mkaka. Mtu anaweza akakupenda tu na hakujui. Mapenzi kitu cha kipuuzi sanaHahahahaa wewe bi mdada upo?
Hapana siyo hivyo
Hata wewe chukulia hivi unaweza kubali mtu ambaye humjuh mf me nikutongoze
Ukubali ki rahisi Na meeting ukubali
Duuh
Kweli kabisaaaaKwani nani huwa anajiona mbaya ,,hata huyo alieblockiwa nae kuna mtu kamblock pia
Na kumkimbia mtu sio kwamba wewe eti ni mrembo au hb hapana kabisaa
Kuna siku wanaume walileta uzi wa hivi weeeeee utafikiri waliokoment mle ni kina wiliam levy au yule kaka Majid
Ni asili ya binadam
Sitaki kuamini uko na bia saa hizi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Yaani mkuu nimecheka mpaka bia imenipalia...
Kushika mapembe niliacha First Year 2004/2005.
DuuhNipo mkaka. Mtu anaweza akakupenda tu na hakujui. Mapenzi kitu cha kipuuzi sana
Unaongelea namba wakati ana mpaka kunitaja pichu yangu. We vipi bwana
Kwa mfano huku. Kuna watu wanapenda wengine kwa kusoma wanachoandika tu. Sasa ukija kumuona unakuta vitu viwili tofauti.Duuh
Sasa kama ankupenda Y? Baada ya kukuona anakukimbia?
Hapo anapendaa au anakuwa ndo utamani
Hahaha, hombolo karibu hapa chuoni ,tukimbiane vzrMm wa kijijin mkuuu dodoma hombolo ndan ndan
Sitaki kuamini uko na bia saa hizi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].