Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Mm nimefanan na baba yangu alafu ni muhandsome jaman mpaka marafik zangu wanamsifiaga nina bab muhandsomee so kama umerithi sura yakeee raha sana mama angu hakuwa nyuma kuchagua hanshaaamy
Hongera yake mama [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kumpata baba handsome halafu mnadumu inapendeza ila kusema ukweli mie nipo kwa baba mpaka rangi mama ni black
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nijaze babe ninachokupendea ni venye unapenda kunijaza tu
Hahah!! Kwani hujiamini boss lady?
 
Hahaaa nilikuwa na ofisi yangu wasarandiaji jamani siku hiyo mie nina safari yangu kaja 1 mmmm hana nafasi kwangu kapewa kiti na binti kakaa hapo katoa hela ya soda binti yangu hana mbavu, kaja 2 nikampa muda wakurudi, no.1 nikamwambia naitwa hapo na brother nakuja,[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2], nikamwambia binti nikitoka hapa kesho hiyo, walipishana hapo kama greda mie sipo kesho yake naulizwa vipi jana umetafutwa balaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwiiii
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]aisee wewe na mm hatuna tofaut nilikuwa nachagua chagua kama nguo mtumbani
 
We mi namkimbiza. Unanikimbiaje kwa mfano
Unaaanza kumkimbizaa unamwambiaaa

Rudiii wewe kaka rudiiii mm ndo Mzigua wa jf tafadhali rudiiii[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Nimecheka kifala
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]aisee wewe na mm hatuna tofaut nilikuwa nachagua chagua kama nguo mtumbani
Mambo mengine kupelekwa pelekwa no[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16], wengine waliamua kumuuliza dada yangu mdogo wako vipi.[emoji44] [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom