Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

haya mambo wengine tushakutana nayo sana kipindi kabla hata social networks hazijaanza..

masela tunapeana namba za mademu....tulikuwa tunawaita 'majini'
Ukimkuta ndivyo sivyooo unamkimbiaaaaa akiii ni dhambiii walllah [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mimi kuna kasista flan nimezoeana naye Facebook. Siwezi sema ni mbaya ila siwezi tu kuwa naye. Kibsya zaidi ni mwanafunzi huwa najifanys kuongea nse mambo ya shule shule ili kumpoteza maboya lakini bado naona anajaa kwenye kilengeo.
Anakaa Mbagala imebdi nimwambie nakaa kibaha angalau kumkata maini asije tu lakin bado tu yumoo..
Nisipomtext two days wivu mwingi najaribu kumpelela kwenye mada za masom lakini wapi. Na nina tabia moja siwezi kumuignore mtu hata aweje ila siwezi tu kuruhusu hili jambo litokee.
kwa hiyo we handsame boy aka HB, [emoji23] [emoji16] [emoji23] [emoji16]

mkuu niwekee ninyooshe goti

just joks
 
Ndio naingia hapa kwanza nimeshindwa soma post zote nyingi sana sijawahi mkimbia mtu kabisa na wala sijawahi kimbiwa pamoja na sura ya baba angu
Aiseee hiyo safi snaa mm mdogo wako majanga kama hayooo sasa yani hiii ni utanguliz majanga zaid yanakujaaaa
 
kwa hiyo we handsame boy aka HB, [emoji23] [emoji16] [emoji23] [emoji16]

mkuu niwekee ninyooshe goti

just joks
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapana ndugu. Mi mwenyewe sura mbovu tu kama ndala ya chooni.
Ila siwez kuwa na haka kabinti kweli. Labda kaona mm nd mzuri wake siwez jua
 
Ila mimi nina hako kamchezo aisee.

Na mara nyingi huwa nawakula kwanza, kama wanakulika lakini. Atakayekuwa mtamu atakulwa mara ya pili, tatu, au hata nne.

Asiye na ladha atakulwa mara moja tu halafu tunakuwa washikaji wa kawaida tu kama atataka.

Asipotaka, basi. Aende zake maana kuna wengine wanasubiri kukulwa na Myuesiei.

Hahahaaaaaaaa just playing.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] myuesiei kwenye ubora wake espy geniveros mko wapi lakini
 
Ningekuwa mrembo ningeringa nina sura ya baba mkuu uwe na amani tu
Tatizo sio urembo haiba tu nakujielewa basi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] unaweza kuwa unakimbia lakini sura kama nyuma ya sufuria [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom