Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji16] [emoji23] [emoji16] [emoji23] ila ilikuwa poa sanaaaKabisaa yan jumapili watu woteee lazima uwakute sabasaba
Naona unatumi mlango wa nyuma kuaminisha kama ww n mrembo[emoji3] [emoji3] [emoji3]Hapana baba angu sio hb kafanana na babu yangu mzaa baba yaan nina sura inatisha lakini sijawahi kimbiwa jamani
Tunawavumilia tuuHakuna ambaye hajawahi kujuta mm sitak hata kukumbukaaa kwa kweli wanaume hawa ni shidaaa
Hahaaa nilikuwa na ofisi yangu wasarandiaji jamani siku hiyo mie nina safari yangu kaja 1 mmmm hana nafasi kwangu kapewa kiti na binti kakaa hapo katoa hela ya soda binti yangu hana mbavu, kaja 2 nikampa muda wakurudi, no.1 nikamwambia naitwa hapo na brother nakuja,[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2], nikamwambia binti nikitoka hapa kesho hiyo, walipishana hapo kama greda mie sipo kesho yake naulizwa vipi jana umetafutwa balaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwiiiiWewee mm ndo balaaa tena kitu kinachofanya nicheke zaidi tuwe wawil alafu tuende kukutana na kituko looh
Nitachekaa hata mwezi mzimaaaa
Mimi sijawahi kimbia mtu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ulimkimbia nasikiaaa hana hamuuu
Asante. Huko nahis mpka msimu wa mvua uishe ndo nije labda kuwe na Emergenc procurement ndo ntakuja.Pole sana mkuu ndio jiji letu hilo
We mi namkimbiza. Unanikimbiaje kwa mfanoHapo mwenzio ameshavuta mahisia unafanana Rihhana siku akikuta Asha boko ndo ndukiii zinaanza[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125][emoji125]
Utakua hukutaka. Wenzio walotaka waliliwa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kasoro Demiss tu alikosa bahat ya kuliwa na US baby
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]utasikia mie wakuja tu, wenyeji sijui wapo wapi![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kweli kabisaa
Umeona eeeeeNaona unatumi mlango wa nyuma kuaminisha kama ww n mrembo[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ningekuwa mrembo ningeringa nina sura ya baba mkuu uwe na amani tuNaona unatumi mlango wa nyuma kuaminisha kama ww n mrembo[emoji3] [emoji3] [emoji3]
madengeMapenzi ya mitandaoni ndvyo yalivyo!
Hahahahahahaaa. Hata mimi nakimbia sheenziUlweso akakimbia akaacha vumbi sipat picha huo mwendooo aliotoka naoooo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125][emoji125]
Marahaba mdogo wanguShikamoo dada