Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Acha tuu. Alitaka kughairi... Ikabidi nisalim amri nijitokeze. Nkasema hapa nimeshaahindwa. Nkikutana na kitu kibaya tavumilia. Alivyo jitokeza tuu. Dah sikuamini kwanini nlikuwa nakaaa mita 200
Wewe mwanaume wewe. Mita 200 hahahahahah
 
Cc cute b
 
Hizi siyo chai kweli?
Nitakuwa wa mwisho kuamini kama mlikutana hapa hapa.
 
Jamani kuanzia Shati bwanga, suruali bwanga simu tulikuwa hatupokei. Yaani darasani tulikuwa tunaangaliana tunabaki kucheka tu yakaja kunikuta na mie mtu akakosea namba nikamwambia tafadhali, Ushindwe katika jina la Yesu.
Mimi huwaa naweka simu kwenye Kibumbuuuu huko aongeee nachoo au kwenyee kwapaaaaa kabisaaa
 
Nimesoma kurasa zote 71 sijamuona alienikimbia humu. Namsubiri nimmwagie povu nililohifadhi miaka kadhaa!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]aiseeeeeh
 
Part 2 inaendeleaaa wajameni rudini kwenye uzi
 
Mmmmh hii part 2 ulikulwa bana,,sema uliona huwezi kuhimili dushe ukalikimbia shem


Kua mkweli[emoji23] [emoji23]
 
Hahahah na wakati nilikuwa namjua tulikuwa tunapigiana video call.
Sema Mimi ndiyo nilijificha nimwone kwanza maana simu zinadanganya
Simu zinadanganyaaaa mkuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…