[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125][emoji205][emoji205][emoji205][emoji38][emoji38][emoji38][emoji8][emoji8][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] umri ukifika mambo yanajiseti, mbona kina Mr hatukuwakimbia [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Naona macho yanaitaTulale na kitongaaaaaa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]aiseee inaumaa sana mm najenga taswira mtu anafanana na Jux ile paaap nakutana na Lem ongalaaa nan abakiiiiLazima ukimbie maana unakuwa umeeunda taswira tofauti sasa ghafula paa
mmm kwanini nisikimbie [emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mie naona bora kuongea ukweli mie shot black, bonge ya mpua , subili tuonane[emoji10][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nlivumilia nkashindwa nkadandia
Zang bodaboda nkaenda zang leaders club
Maana hyo sku ilikua n ya fiesta
Nkamwambia nachelewa fiesta
Tuonane kesho [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Trein za zamani zilipendwaAiseee hizo zipo kwenye movie za kina Into the badland kama sikoseiii
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mie naoga bora kuongea ukweli mie shot black, bonge ya mpua , subili tuonane[emoji10]
Majina lazima wapewe tena mengi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mpaka vumbi debe tulikuwa nayeNakumbuka teacher wa physics tulimpa jina la Initial velocity form 2 kama sikosei
Tena yale ya rangi rangi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]usku wakilala anaona meno tu
Ukweli unaniweka huru kabisa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Haa haa haa
Walaaaaah huyo n kamaUkajua mtoto laini kama Lulu maraa paaaap ukakutana na Mjaluoooo
That is trueUkweli unaniweka huru kabisa