Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] umri ukifika mambo yanajiseti, mbona kina Mr hatukuwakimbia [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125][emoji205][emoji205][emoji205][emoji38][emoji38][emoji38][emoji8][emoji8]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ukiwa teacher ni kukubali yote
Nakumbuka teacher wa physics tulimpa jina la Initial velocity form 2 kama sikosei
 
Haya matukio ninayo ya kutosha ila naona mengi yanafafana na wachangiaji waliopita ila ambalo naweza ku-share hapa ni la 2011 hapa JF nikiwa natumia ID ya kwanza tofauti na hii.
Kule love connect nikakutana na binti anatafuta mchumba akaweka vigezo vyake duh mwanaume nikajaribu bahati yangu na ngoma ikatiki fresh yeye alikua yuko Manyara mimi niko Dar baada ya chat na calls za siku kadhaa binti akaamua aje Dar na kosa ni kwamba hatukutumiana picha kwa makusudi ili kuongeza hamu ya kuonana ila ametua tu Ubungo tulibaki tunashangaa tu maana mimi ni mhuni kwa muonekano kutokana na mazingira niliyokulia wakati yeye ni kama sister wa kikatoliki ingawa alikua kisu balaa kwa kifupi tulikua hatuendani kabisaaaa nikaenda nae home ndio balaa kabisa kila alichokikuta kwangu ni tofauti na maisha yake nyumba yote ilikua hafanani nayo nikawa nawaza naanzia wapi kumueleza kua tuko tofauti sana maana akiwaza kanisa mimi nawaza club nashukuru akauvaa ujasiri wa kuniambia kua hatufanani kabisa na akaniomba radhi kwa kunipotezea muda wangu ila mimi kwa roho nyeupe nikamuambia poa akakaa kwangu kwa siku mbili alafu akatembea zake hatukuacha kuwasiliana kuna kipindi nikaibuka Manyara bila hiyana binti akasema tupeane tu kwa kuburudisha nafsi mpaka leo ni mchizi wangu na yupo umi JF bado ingawa sijamuona kwenye huu uzi kinachoniuma ni kwamba sasa ivi kawa sio binti kanisa tena anapita kwenye njia zangu zile zile za kitambo ila ndio ivyo tena hatuwezi kufanya kitu.
 
Lazima ukimbie maana unakuwa umeeunda taswira tofauti sasa ghafula paa
mmm kwanini nisikimbie [emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]aiseee inaumaa sana mm najenga taswira mtu anafanana na Jux ile paaap nakutana na Lem ongalaaa nan abakiiii
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Nlivumilia nkashindwa nkadandia
Zang bodaboda nkaenda zang leaders club
Maana hyo sku ilikua n ya fiesta

Nkamwambia nachelewa fiesta
Tuonane kesho [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mie naona bora kuongea ukweli mie shot black, bonge ya mpua , subili tuonane[emoji10]
 
Kuna mmoja alinambia at yy n mweupe
Heee Sasa acha nijisogeze.
zang kinondon mkwajun haa haa
Nlibak tu nmeduwaa nlichokiona
Ukajua mtoto laini kama Lulu maraa paaaap ukakutana na Mjaluoooo
 
Nakumbuka teacher wa physics tulimpa jina la Initial velocity form 2 kama sikosei
Majina lazima wapewe tena mengi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mpaka vumbi debe tulikuwa naye
 
Ukajua mtoto laini kama Lulu maraa paaaap ukakutana na Mjaluoooo
Walaaaaah huyo n kama
Alikua mjaluo kabsa maana
Co Kwa weus ule af alikua
Mhehe

Saut Sasa yan ndo ilifanya
Nitake kumuona dhaaaa
Mtt saut Sasa akiongea
tu jogoo anawika
 
Kuna binti mwengine nilimpata usiku mmoja [emoji13] [emoji13] mzuri, kaumbika Mashallah, but kwenye 5 x 6 nilimfunua nimekuta ana dreads si dreads rasta si rasta, then hazieleweki kama ni rasta za bob marley au peter tosh, nilimkuta na vouz kama inchi tatu (3")[emoji13] [emoji13] [emoji13] nilitoka mbio nikamuacha guest, sijui kama alilala mpaka asubuhi au aliondoka usiku ule, sijui! [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom