Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Vipi mkuu. Na mshana jr ulishakutana nae live?
 
Niowe wap baada ya kuachana pale ikawa ndo mwisho wa mawasiliano mm nilichofanya nili play part yangu as gentleman ckutaka kuumiza hisia zake kujiona hana thaman duniani maana inapaswa kupenda na kupeana moyo ktk nyakat ngumu kama hizo
Hongera [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ni heri kuamua 1 kuliko kumtesa mtu muacha akapambane huko mbele
 
Aisee wewe hapana [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hahahaha Demiss umenikumbusha mbali sana,

Mdada mkaliiiii kanicheki site moja hivi niliangalia profile yake yupo njema, baada ya chatting za muda mrefu, siku hiyo akaja kunitafuta tena kwa surprise maana sina hili wala lile ananiambia nipo Victoria kituoni, nikasema poa ngoja nikamfate, uzuri niliamua kwenda mwenyewe ningemuelekeza home sijui ingekuaje walai, daah sikuamini nilichokiona Mungu anisamehe tu, mbaya zaidi wale dreva tax wananitania like nimeopoa sijui nini damn!!

Nikajua why alipendelea kupiga picha nusu huku ma filter kibaoooooo.

Nilimpandisha gari bila kutarajia nikamwambia nina kikao cha familia natakiwa kuhudhuria.

am sorry H.
 
Mambow n moto kwakweli
Mwandiko na I'd haviskilizan
Ww ndo unajua jinsia yako tu mwenyewe
 
Kha! We ni me au ke?
 
Ngoja nikakodshe mitambo ya
Purtin ile najua haiach ktu

Na nitakubeba juuu juu mpaka
Geto[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]nikifika geto nikikuta shagalabagala nitatokaaa ndukii hatareeee kama chopa za Marekani
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]nikifika geto nikikuta shagalabagala nitatokaaa ndukii hatareeee kama chopa za Marekani
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Unafkir nakaa stor kama
Bilinas [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…