Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo furaha bila shaka umepona heelspur [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hongera kwa kufurahi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]leo nina furahaaa jaman mweeeh
Sjachomwa sindano leo mpaka J3 nilikosa raha nikisikia muda wa sindano leo nina bahat sjachomwa sindano ya mguu inaumaaa hiyo balaaaaaHiyo furaha bila shaka umepona heelspur [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hongera kwa kufurahi
Haaaa haaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mrs MshanaSjachomwa sindano leo mpaka J3 nilikosa raha nikisikia muda wa sindano leo nina bahat sjachomwa sindano ya mguu inaumaaa hiyo balaaaaa
Pole sana, lakini lazima uchome tu,Acha kabisaaa
Pole sana ila jana yenyewe jf ndiyo ili tumiss sana , usiku mwema lala unonoKweli.kabisaaa nina usingiz leo lakin nilimiss jf jaman ukiwa mgonjwa macho yanakuwa hayana nguvu kusomaaa
Jana tulikuwa kwenye makabati kutwa nzimaBado kidogo nazurula najikaza hatar sema kumepoaaaa eeeh sjakuta zile mada za amsha amshaaa sjui kwann?
Duh!Mi sikukimbii ila baada ya kuonana ntakupotezea. Kila ukipiga simu niko busy. Na nakujibu dry dry tu mpaka utakaa sawa. Kuna watu unakutana nao unagundua hawafai hata kuwa marafiki. Sasa watu wa hivyo wanajua kuganda hao.
Njoo kwangu mi ni KIPOTABOMim kuna mtu alikoseaga namba ikaja kwangu kupokea sauti nzuriii mweee ,tukawa tunaongea tu ,tunawasiliana tu nikawa namuwazia atakuwa bonge la handsomee ,,siku naenda kuonana naee kidogo nizimieee limtu kama Li lemutuz halaf mi kadogoo nikamsalimia shikamooo baba ,wakati kwenye simu nilikuaga simsalimiii ,nikamuambia nimepita tu tutaonana baadaee [emoji23][emoji23],,nikivyotoka hapooo nilibadili na laini na ya simu maana kidogo nizimiee