Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]leo nina furahaaa jaman mweeeh
Hiyo furaha bila shaka umepona heelspur [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hongera kwa kufurahi
 
Hiyo furaha bila shaka umepona heelspur [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hongera kwa kufurahi
Sjachomwa sindano leo mpaka J3 nilikosa raha nikisikia muda wa sindano leo nina bahat sjachomwa sindano ya mguu inaumaaa hiyo balaaaaa
 
Sjachomwa sindano leo mpaka J3 nilikosa raha nikisikia muda wa sindano leo nina bahat sjachomwa sindano ya mguu inaumaaa hiyo balaaaaa
Haaaa haaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mrs Mshana
 
Kweli.kabisaaa nina usingiz leo lakin nilimiss jf jaman ukiwa mgonjwa macho yanakuwa hayana nguvu kusomaaa
Pole sana ila jana yenyewe jf ndiyo ili tumiss sana , usiku mwema lala unono
 
Pole sana ila jana yenyewe jf ndiyo ili tumiss sana , usiku mwema lala unono
Bado kidogo nazurula najikaza hatar sema kumepoaaaa eeeh sjakuta zile mada za amsha amshaaa sjui kwann?
 
Mi sikukimbii ila baada ya kuonana ntakupotezea. Kila ukipiga simu niko busy. Na nakujibu dry dry tu mpaka utakaa sawa. Kuna watu unakutana nao unagundua hawafai hata kuwa marafiki. Sasa watu wa hivyo wanajua kuganda hao.
Duh!
 
Njoo kwangu mi ni KIPOTABO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…