Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

nafahamu manina hapo kwenye chopa za urusi ndo umenimaliza
 
Demiss unanisema vibaya hivyo,.

Najutia kukutana na wewe...

My wangu nisamehe kwa kuchambwa kiasi hichi na chamdeko
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Babe jaman
 
Wewe Mwifwa kwann unapenda kunochokozaaaa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Mm na wewe tumekutana lini hapa nawaza lini tutakutana nikukimbieee au wewe unikimbie uwiiiiii balaaaa
ngoja niendelee kuwalia taiming kwanza
 
Kwa jinsi nilivyo HB,sijaona hata avatar ya kunitisha kabisa. So aiseee Mimi ndo nitawakimbia tena na pikipiki ya Vesper,no mwendo mkali,waskia tu ndroooooo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwa jinsi nilivyo HB,sijaona hata avatar ya kunitisha kabisa. So aiseee Mimi ndo nitawakimbia tena na pikipiki ya Vesper,no mwendo mkali,waskia tu ndroooooo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Aiseeeee kweli wewe Handsome utaanzaje kukimbiwa kwa mfanooo
 
Huu mchezo vijana wengi wa Dar wametelekeza mabinti Ubungo, anatarajia kuona kingine anakuja kukutana na kingine.
Lazima ale kona ameze chochoro
Kaka [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] wewe hujawahi kimbiwa au kumkimbiaaa
 
Kaka [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] wewe hujawahi kimbiwa au kumkimbiaaa
Bahati mbaya sidandii mitandaoni sana hivyo hiyo hainikuti. Napenda sana kuanza uhusiano na ninayemwona live.

[emoji2] Pole yenu mnaotajiwa mwonekano mnajenga picha kama ya Drake, unakuja kumwona unaona bora ungedate na teja
 
Bahati mbaya sidandii mitandaoni sana hivyo hiyo hainikuti. Napenda sana kuanza uhusiano na ninayemwona live.

[emoji2] Pole yenu mnaotajiwa mwonekano mnajenga picha kama ya Drake, unakuja kumwona unaona bora ungedate na teja
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ndo maisha yalivyo kila kitu kimepangwaa unajua kuna mambo tunasoma kwenye hadithi za kutunga lakini zina ukweli 85% .

Na yalipaswa kutokea ili maisha yaendeleee.
 

Unakimbia kwasababu hujiamini
Kama unajiamini hamna sababu ya kumkimbia mtu ambaye umepoteza muda wake kukufwata
Utakuwa hujiamni.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ndo maisha yalivyo kila kitu kimepangwaa unajua kuna mambo tunasoma kwenye hadithi za kutunga lakini zina ukweli 85% .

Na yalipaswa kutokea ili maisha yaendeleee.
[emoji2] ni kweli, ila mkome kuumba kwa fikra. Sasa mfano ndiyo umeitwa chumba fulani cha lodge, kina kila kitu ndani. Unacheki uso kama bimbilisa mavi.

Ukitumia gia ya chooni, chumba ni self contain

Ukitumia gia ya vocha anakurushia kutoka kwenye simu yake

Ukitumia uagize chakula, unaambiwa lodge ina mgahawa ngoja apige simu kuweka oda.

Ndipo utatamani ungeumbwa tendegu la kitanda cha hicho chumba
 
Hahahahahah hahaha daaaah haya bwana, hata sisi jinsia kama yako utatukimbia
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]loooh nimeamua kucheka leo
 
Unakimbia kwasababu hujiamini
Kama unajiamini hamna sababu ya kumkimbia mtu ambaye umepoteza muda wake kukufwata
Utakuwa hujiamni.
Unajua kwenye hii dunia kila mtu na mnyonge wakeeee
 
Hapo nitamwambia nenda kaoge nitaangalia kama choo kina ufunguo nina hakika lodge ambazo ni nzuri Zina toilet zenye ufunguo hapo ndo nitakapocheza na akili yangu.

Kiukweli nitamfungia chooni tu hakuna namna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…