Hahaaaa. Ni mwanzo tu huo.Nimeshamzoeaaa sijawahi kuona sehemu kanijibu vizuri huwa ananipa tusi anapita mbeleee na mm wala huwa sishoboki popote alipo ila sasa kwangu looooh huwa nakomaaa mpaka nasema nilimkosea nn mchaga huyuuuu
Sijui nilikutusi wap, na hata ikitokea hvyo huwa nasahau na naendelea na mengine.Nilikuwa nakuacha tu ujiachie unavyowezaa lakin duh huwa najiulizaa nn sababu ya wee kunitus
Uliza mamaAiseeee leo nikuulize kitu?
Afadhali umejiletaa nilikuweka kiporo sku mingiiiii
Usianike yote humu emmyta [emoji16][emoji16][emoji16]Hahaaaa. Ni mwanzo tu huo.
Ila ukimzowea walaa hayo matusi hutayaona tena. Kwangu ni rafiki mzuri huyo Demiss.
I was studying, SUA. Nilipanga misufuniMsamvu Morogoro [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ulikuwa unakaaa kihonda au nanenane?
Hahaaaa. Sidhani kama ana sababu bwana. Mzowee tu.Naombaaa umuulize kwann ananifanyia hivyo kama kuna kitu namkeraaa asemee tu
Kiukweli nilikuwa nakuchukia kabisaaa huwez kuamin na mm mtu anayenitukana kwenye sehemu ambayo sjafanya kitu kibaya na akarudia mara nyingi huwa namfungia viooo kabisa kuanzia kwenye nyuzi zakeee mpaka comment zake mmojawapo ni wewe.Sijui nilikutusi wap, na hata ikitokea hvyo huwa nasahau na naendelea na mengine.
Kiufupi sikumbuki ni wapi, na ilikuwa ni mada gani.
Mi huwa nachangia na kusepa, nikikutukana jua Regency hazitembeii.
Angalizo: Nayofanya humu ni tofauti na nilivyo [emoji23][emoji23][emoji23], wengine wajanja humu kwenye keyboard, nje ya hapa huwezi sikia tusi mdomon kwangu.
Hvyoo tu
Sianiki kitu bwana Mangi nimeshafika Mwisho.Usianike yote humu emmyta [emoji16][emoji16][emoji16]
Okay. Nafurahi kusikia hivyo mdogo wangu.Aiseeee anaenjoy sana kampany yanguuu msiwe na Shaka yupo mikono salamaaa
Hahaaaaa. Msamehe bure.Asingekuja hapaaa haki kinyongo kingebaki pale paleeee