Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Hahahaa. Umeonaeee.

Huku inabaki kuwa siri yako na kicheko kinakuwa hakiishi haswa ukute ni wale waliojaa tambo na madharau basi unabaki kucheka tu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mm nahisi hujiamini kama ni mzuri ndio sababu huwa unakimbia,ktk thread zako zote hujawahi sema umekimbiwa,unajihami mapemaa
Naona Mkuu mvua imekuvuruga , maaana jibu lako hata sijalielewa hvi ,na mwisho kabisaa nlisema labda wao huwa wanakimbia na hapa swali ni je hujawahi kumkimbia mtu? huko kwingine ni wapi tena leta huo uzi
 
Hv vitu bado vinatookea mpaka kipindi hiki????.... Ckuhizi kila mtu ana smart phone... So video call ndio solution... Siwez kutana na mtu bila kumpiigia video call kwanza
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ulivyo kutana na mshana Jr hujamuona amevaa kaniki nyekundu na nyeusi anaenda kuchuma dawa ya ulonzi... [emoji23]
 
Mim kuna mtu alikoseaga namba ikaja kwangu kupokea sauti nzuriii mweee ,tukawa tunaongea tu ,tunawasiliana tu nikawa namuwazia atakuwa bonge la handsomee ,,siku naenda kuonana naee kidogo nizimieee limtu kama Li lemutuz halaf mi kadogoo nikamsalimia shikamooo baba ,wakati kwenye simu nilikuaga simsalimiii ,nikamuambia nimepita tu tutaonana baadaee [emoji23][emoji23],,nikivyotoka hapooo nilibadili na laini na ya simu maana kidogo nizimiee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…