Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Niko nafanya mazoezi kila siku sasa nimekaribia kumfikia Usain Bolt kwa mbio, shauri yako nitakubwaga mapema tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Najua watakurudisha kibaigwaaa siyo kwa mbiooo hizo[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]


Mwifwaa rudiiiii usinikimbie mm ndo Demiss wa jf tafadhali rudiiii

Mwifwa: Demiss mm sirud kumbe ndo upo hivyo?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Mwanaume anakutumia picha za Baba akeee badala atume za kwake mkuu utaacha kumkimbiaa tena natoka ndukii[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]

Hata wewe rafiki na hii id yako ina brand kubwa nikikuta unafanana sivyo ndivyo nakukimbiaaa tu
Teh teh ulijuaje kua ni ya baba yake?

Bahat mbaya mm nasura mbaya sana hadi shetani anaogopa kuniingiza majaribuni 😀😀😀
 
Tehehe teheeee shaur yako nami najifundisha mbio nianze kuwakimbia
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]kimbia day ukikuta hafanani na unavyofikiria
 
mimi mizinga ndo ilinikimbiza..ndani ya week mizinga si chini ya minne..kila siku njaaa. Nikamtema
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]na anagekuona live ndo balaaaaa huyo alikuwa anakukimbia kijanja bora ulijiongezaaaa
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Najua watakurudisha kibaigwaaa siyo kwa mbiooo hizo[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]


Mwifwaa rudiiiii usinikimbie mm ndo Demiss wa jf tafadhali rudiiii

Mwifwa: Demiss mm sirud kumbe ndo upo hivyo?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Niseme tu ukweli kuna sifa umezitaja na mimi ninazo.

Ahsante kwa kutoa duku duku lako
 
Back
Top Bottom