Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu hapa aninishangaa ninavyocheka [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]akiii nimecheka sina mbavuu hapa watu wananiona kichaaa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]poleee kwa majaribuMimi kuna kasista flan nimezoeana naye Facebook. Siwezi sema ni mbaya ila siwezi tu kuwa naye. Kibsya zaidi ni mwanafunzi huwa najifanys kuongea nse mambo ya shule shule ili kumpoteza maboya lakini bado naona anajaa kwenye kilengeo.
Anakaa Mbagala imebdi nimwambie nakaa kibaha angalau kumkata maini asije tu lakin bado tu yumoo..
Nisipomtext two days wivu mwingi najaribu kumpelela kwenye mada za masom lakini wapi. Na nina tabia moja siwezi kumuignore mtu hata aweje ila siwezi tu kuruhusu hili jambo litokee.
Sijawahi.Uko poa jamani hivi Saint Ivuga hujawahi mkimbia kweli ndugu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti hakuna namnaIla dhambi lakin hakuna namna
Hujambo bebiHahaa Hayo hutokeaga katika maisha
Upo?Hawez kabisaa kufanya hivyo
Sana mkuu anafaidi tutakuita siku upige chabodah, aiseeee jamaa anafaidi mweeeee
Hahahaha acha mambo zako unataka sakayo akuje achekeHahah!! Kwani hujiamini boss lady?
Wap tena nimekutukana best,mbona sina historia ya kutukana ?Kwa sababu kuna comment umenitukana sitaki nikujibuuu
Ukinionyesha nipo tayari kuomba msamaha bestKwa sababu kuna comment umenitukana sitaki nikujibuuu
Acha aje acheke tu jmnHahahaha acha mambo zako unataka sakayo akuje acheke
Myuesiei sio wa mchezo mchezo kwenye kukulana anakula tuMme wangu asionee hii comment nitachezea vitasa nafuta kauliii
Alijua namtania.. inaezekana aliniona akakimbiaAmekuzimia kwa nini jamani