Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

@shunie kuna scenerio ngoja nianze kuzishusha kama ifuatavyo.

1. Kunakipindi tulikuwa tunasoma secondary. Sasa kuna jamaa yangu alikuwa na msichana wake shule fulani ya wasichana. Sasa sijui ilikuwaje kuna binti mwingine akaiiba namba ya jamaa yangu wakaanza kuchart nae. Kipindi kile hamna wasap hatumjui binti but alikuwa ana upendo saana katika zile chatting. Sasa siku ya graduu unajua mambo ya boys lazima wadada waje. Sasa walipokuja na yule dada akaja. Akawa amemletea rafiki yangu zawadi. Sasa ile coaster yao imeshuka tukawa tunachart nae kumuelekeza tulipo. Jamaa alipomuona bint kwa mbali ni mweusi na kwa mujibu wake anasema ni 'mbovu' jamaa akaacha simu akasepa. Ikabidi mimi niact kamaa ndio jamaa nkapokea zawad mule kulikuwa na singlend boxer na pafyuum. Kumbe msichana mwenyewe alikua hamjui jamaa alikuwa anahadithiwa tuu.
After there jamaa akadelete namba. Yule bint ikabidi nije nimueleze ukweli mimi sio huyo fulan. Baada ya kumaliza shule.



Yapili ilikuwa tena chuo, roommate alipata binti wa mbulu, katika chats na kuongea bint anasaut nzuri saana very romantic. Alikuwa nesi huko manyara. Sasa siku kapanda gari from arusha paka dar. Jamaa akasema twende tukampokeee ubungo tukamwambia hapana ashukie ubungo maji. Tumefika tukawa tumekaa pembeni. Bint alituelekeza amevaa nguo za rangi gani. Ile alivyoshuka tuu na mizigo yake jamaa kumuona kwa mbali akazima simu. Bint alikua anakitambi, flat yani sio mzuri.

Tukawa tunamwangalia jinsi anavyohangaika kupiga simu. Jamaa akasema tusepe. Bint alitukana saana dah


Yatatu,miaka kadhaa mingi nlijilipua kwenda mkoa fulani wa kaskazini. Kumfata my mama p. Sasa kwanza nlikuwa naogopa kuibiwa au kutapeliwa. Nlikuwaa nimejipanga kama nkikutana na kitu kibovu nalala zangu kesho nageuza.

Sasa stand nlifika usiku, nlimdanganya nimevaaa nini ili nkifika asinijue nianze kumjua yeye nimkague kwanza.


Kumbe nayeye ni janja mtoto wa mjini. Kanidanganya yupoje. Palikuwa patamu. Mimi nimejificha nakaa natafuta mtu. Kumbe nayeye kajificha kakaa anangalia mtu. Karibu dakika 40 tunasumbuana. Dah....

The rest is..... Thanks God paka leo
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mnaviziana kama pakaaa anataka kukamata panyaaaa
 
@shunie kuna scenerio ngoja nianze kuzishusha kama ifuatavyo.

1. Kunakipindi tulikuwa tunasoma secondary. Sasa kuna jamaa yangu alikuwa na msichana wake shule fulani ya wasichana. Sasa sijui ilikuwaje kuna binti mwingine akaiiba namba ya jamaa yangu wakaanza kuchart nae. Kipindi kile hamna wasap hatumjui binti but alikuwa ana upendo saana katika zile chatting. Sasa siku ya graduu unajua mambo ya boys lazima wadada waje. Sasa walipokuja na yule dada akaja. Akawa amemletea rafiki yangu zawadi. Sasa ile coaster yao imeshuka tukawa tunachart nae kumuelekeza tulipo. Jamaa alipomuona bint kwa mbali ni mweusi na kwa mujibu wake anasema ni 'mbovu' jamaa akaacha simu akasepa. Ikabidi mimi niact kamaa ndio jamaa nkapokea zawad mule kulikuwa na singlend boxer na pafyuum. Kumbe msichana mwenyewe alikua hamjui jamaa alikuwa anahadithiwa tuu.
After there jamaa akadelete namba. Yule bint ikabidi nije nimueleze ukweli mimi sio huyo fulan. Baada ya kumaliza shule.



Yapili ilikuwa tena chuo, roommate alipata binti wa mbulu, katika chats na kuongea bint anasaut nzuri saana very romantic. Alikuwa nesi huko manyara. Sasa siku kapanda gari from arusha paka dar. Jamaa akasema twende tukampokeee ubungo tukamwambia hapana ashukie ubungo maji. Tumefika tukawa tumekaa pembeni. Bint alituelekeza amevaa nguo za rangi gani. Ile alivyoshuka tuu na mizigo yake jamaa kumuona kwa mbali akazima simu. Bint alikua anakitambi, flat yani sio mzuri.

Tukawa tunamwangalia jinsi anavyohangaika kupiga simu. Jamaa akasema tusepe. Bint alitukana saana dah


Yatatu,miaka kadhaa mingi nlijilipua kwenda mkoa fulani wa kaskazini. Kumfata my mama p. Sasa kwanza nlikuwa naogopa kuibiwa au kutapeliwa. Nlikuwaa nimejipanga kama nkikutana na kitu kibovu nalala zangu kesho nageuza.

Sasa stand nlifika usiku, nlimdanganya nimevaaa nini ili nkifika asinijue nianze kumjua yeye nimkague kwanza.


Kumbe nayeye ni janja mtoto wa mjini. Kanidanganya yupoje. Palikuwa patamu. Mimi nimejificha nakaa natafuta mtu. Kumbe nayeye kajificha kakaa anangalia mtu. Karibu dakika 40 tunasumbuana. Dah....

The rest is..... Thanks God paka leo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wajanja nyie wewe na mama p nimecheka sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wajanja nyie wewe na mama p nimecheka sana
Acha tuu. Alitaka kughairi... Ikabidi nisalim amri nijitokeze. Nkasema hapa nimeshaahindwa. Nkikutana na kitu kibaya tavumilia. Alivyo jitokeza tuu. Dah sikuamini kwanini nlikuwa nakaaa mita 200
 
Kwanza love making hajui kabisa she wasn't romantic at all!
Unasukuma mkuyenge hata mguno hamnaa

What a wastage of manhood
Dj wakat wa mgegedo unapendaa kuongeaaa eeeeh
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wajanja nyie wewe na mama p nimecheka sana
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hii ilimtokea rafiki yangu wa karibu, kuna mkaka alikosea namba ndio ukawa mwanzo wa mawasiliano kipindi hicho tulikuwa kidato cha nne tukawa tunajisomea pamoja usiku yaani rafiki yangu alikuwa anaongea tu na simu usiku wote hana muda wa kusoma.
Yule kaka alikuwa anaishi moro siku hiyo akasema nakuja dom kuna mzigo naleta huko nataka tuonane maana hata mie nilikuwa naongea nae kwa simu ya rafiki yangu. Ilikuwa ijumaa tukawahi kurudi mwenzangu akajiandaa kwenda kumuona mgeni wake kurudi huko mwenzangu kabadilika yaani amekasirika anasema yaani toka nimezaliwa sijawahi kuonana na baba mwenye sura ngumu kama yule [emoji1] [emoji1] [emoji1].
Kesho yake alikuwa anarudi moro akamwambia kesho uje na shemeji nimuone(mie huyo) jamani kufika nje ya hiyo guest aliyofikia akampigia atoke nje tumefika alikuwa amevaa bonge la suruali la kitambaa na shati la mikono mirefu juu kofia.
Kwenye simu alikuwa na sauti nzuri hatari kuja kumuona nikabaki hoi.
Nilicheka njia nzima kama chizi hadi kufika nyumbani nacheka mwenyewe naulizwa unawehuka? Toka hapo yule baba akipiga simu utasikia hili nalo na matusi juu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hii ilimtokea rafiki yangu wa karibu, kuna mkaka alikosea namba ndio ukawa mwanzo wa mawasiliano kipindi hicho tulikuwa kidato cha nne tukawa tunajisomea pamoja usiku yaani rafiki yangu alikuwa anaongea tu na simu usiku wote hana muda wa kusoma.
Yule kaka alikuwa anaishi moro siku hiyo akasema nakuja dom kuna mzigo naleta huko nataka tuonane maana hata mie nilikuwa naongea nae kwa simu ya rafiki yangu. Ilikuwa ijumaa tukawahi kurudi mwenzangu akajiandaa kwenda kumuona mgeni wake kurudi huko mwenzangu kabadilika yaani amekasirika anasema yaani toka nimezaliwa sijawahi kuonana na baba mwenye sura ngumu kama yule [emoji1] [emoji1] [emoji1].
Kesho yake alikuwa anarudi moro akamwambia kesho uje na shemeji nimuone(mie huyo) jamani kufika nje ya hiyo guest aliyofikia akampigia atoke nje tumefika alikuwa amevaa bonge la suruali la kitambaa na shati la mikono mirefu juu kofia.
Kwenye simu alikuwa na sauti nzuri hatari kuja kumuona nikabaki hoi.
Nilicheka njia nzima kama chizi hadi kufika nyumbani nacheka mwenyewe naulizwa unawehuka? Toka hapo yule baba akipiga simu utasikia hili nalo na matusi juu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]aiseee kwenye nguo ndo huwa sna hamuu sipat picha mlivyokuwa mnamzodoaaa akipiga simu mnachelewa mpaka kupokeaaaa
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]aiseee kwenye nguo ndo huwa sna hamuu sipat picha mlivyokuwa mnamzodoaaa akipiga simu mnachelewa mpaka kupokeaaaa
Jamani kuanzia Shati bwanga, suruali bwanga simu tulikuwa hatupokei. Yaani darasani tulikuwa tunaangaliana tunabaki kucheka tu yakaja kunikuta na mie mtu akakosea namba nikamwambia tafadhali, Ushindwe katika jina la Yesu.
 
Back
Top Bottom