Niliwahi mkimbia dada mmoja alikuwa amekosea namba
Bhasi tukaendelea kuchat siku moja nikawa naenda karagwe akaniambia anasoma chuo cha uuguzi huko karibu na chato nimepasahau ila kuna madagaa kibao
Nikasema ngoja nipite nikamuone
Nikamdeshi kumwambia Lodge niliyofikia aje!nikakaa sawa huku manyege yakinipanda!
Basi Mara muhudumu ananikongea na kuniambia kuna mgeni wangu reception
Lol! Walahi kwa mapozi ya yule dada ktk simu na akilini najua manesi huwa wazuri!
Sikuamini sanamu niliyokuwa natazamana nayo walah!Mungu nisamehe
Mpua ule ka kwato Yale mapua ya umbo la M
Maziwa yalishashuka ka kandambili za chinga!
Shingo imedidimia ka kapigwa nyundo
Domo la dai cha mtoto!
Sikuwa na jinsi nikamkaribisha rumu ile kunipa mgongo nikaona bonge la chura
Nikasema kweli Mungu hakunyimi vyote
Nikampinda mbuzi kagoma kwenda ili nisione ule msura nikapiga mbili kwa mpigo
Nikampa teni nikamwambia ntakutafuta hadi Leo anasubiri simu yangu