Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Unajua ni kesi hii!!Kumbe alidanganya. Kalikuwa katoto hata miaka 20 ilikuwa bado msamehe[emoji41] [emoji41] [emoji41]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua ni kesi hii!!Kumbe alidanganya. Kalikuwa katoto hata miaka 20 ilikuwa bado msamehe[emoji41] [emoji41] [emoji41]
Kweli kabisa, duniani kuna mambo.Asipokutumia bebaaa ya emergence kabisaaa maana unaweza kuumbukaaa mkuu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] kwahiyo huyo mtu wako alipoenda kumtoa hajaulizwa upo wapi jamani vibaya hivyo [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] wachimba madini wanaita kimbotela [emoji23][emoji23][emoji23]Sio kama alikuwa ni jini kweli but alikuwa breki pu...bu. Yaani nimeingiza mpaka naisikilizia ndani inavyotokomea[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Kwakweli ni bahari beach sasa sijui maumbile au kutumika sana [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]Bahari beach
Mshkaji alimwambia live kuwa "Jamaa yako analikoka huko na akirudi anaweza kukuchana na nyembe tatizo we ni used hadi basi" dem alinyanyuka mwenyewe taratibu, kuvaa kyup chake na kuondoka zake[emoji13] [emoji13] [emoji13][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] kwahiyo huyo mtu wako alipoenda kumtoa hajaulizwa upo wapi jamani vibaya hivyo [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] wachimba madini wanaita kimbotela [emoji23][emoji23][emoji23]
Yn leo umenchekesha sana[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Unaweza uzaaa simu haya mambl siyo kabisaaaaaKweli kabisa, duniani kuna mambo.
Kuna dada mmoja kibonge mfupi, shapeless anakaa taifa pale dar alishatumiwa nauli aende morogoro kwanin asikimbiwe....
Hata mimi ningemkimbia kwakweli.
Mpaka visigino vinagusa kisogo [emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]Kwelii kabisaaa ni mwendo wa kukimbiaaa tu
Aliseme tu lipi hiloKundi langu lipi rafikiii
Katumika sana may be 9ᵀᴴ Hand [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]Kwakweli ni bahari beach sasa sijui maumbile au kutumika sana [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
AiseeeSitasahau Kipindi Nimejiunga Badoo Miaka Hiyo Na Kisimu Changu Cha Nokia C2. Nilikuwa Nawatambishia Masela Kitaa Kwa Totoz Wazuri Wa Badoo . Sasa Ikifika Katika Kuscan Yupi Wakutoka Nae Ili Nikomeshe Roommate Baada Ya Kurudi Chuo Udsm. Nikampata Mmoja ( Jina Kapuni) Kwa Mujibu Wa Picha Alikuwa Ana Asili Ya Kinyarwanda Na Mimi Ugonjwa Wangu Ni Totoz Wa Kiethiopia, Rwanda Na Somalia. Kimoyo Moyo Nikasema Nimeokota Dodo Kwenye Mpapai. Bhasi Tukapanga Tukutane Sinza Mori Big Bon, Yeye Ni Mkazi Wa Manzese. Nikakaa Pale Elegance Hotel Karibu Na Bodaboda Ili Akishuka Kwa Daladala Nimwambie Ashuke Sheli Ili Nijirizishe Kama Anafaa. Hapo Nimevaa T-shirt Ya Ukali, Jeans Kali Na Safari Boot Za Brown, Kwa Kweli Nilikua Namuonekano Wa Mwanaume Rijali Plus Tabasamu La Ki Gentleman Huku Nikiachia Harufu Ya Old Spice Perfume Kutoka Mcity, Saa Mike Ross , Eye Shades Za Ukweli Na Kofia Ya Nike. Ghafla Ikaja Daladala Pale Mori Huku Nipo Alert Kutazama Utukufu Wa Mungu Wenye Asili Kutoka Kwa Kagame. Kwa Jinsi Alivyo Nieleza Yupo Kama K-lyn. Asalaleeh, Punde Si Muda Simu Aina Nokia Asha Niliyoazima Kwa Roommate Kwa Mauzo Ikaita Nyimbo Ya Sexual Healing 'Marvin Gaye ' Nikaona Taratibu Limama Makamo Na Shangazi Yangu Linajongea Karibu Na Sheli Kutoka Kwenye Daladala. Haki Ya Nani Nilimuangalia Vizuri Ni Ana Kome Kubwa Utosini Kama Yule Aliyedai Binti Wa Lowassa, Miguu Mifupi Kama Pimbi, Wigi Amevaa Kama Yale Ya Nick Minaj Kitu Ambacho Kikamfanya Aonekane Kama Kima, Mwanaume Sikuamini Nikakata Simu Nikapiga Mimi, Hapo Ameshavuka Barabara Kuja Sheli Nikaona Anatoa Simu Kwenye Kipochi Sasa Alivyokuwa Anaongea Mdomo Wake Hakunji Chapati Huyu, Mikononi Anaonekana Ananata Kwa Kumuangalia, Vijimbi Kama Mbwana Samatta . Nashukuru Hakuniona Hapo Hapo Nikamwambia Boda Naomba Nitoe Baru Mpaka Mlimani city. Tukatoka Kwa Mithili Ya Bomu La Hiroshima Na Nagasaki Mpaka Mlimani. Pale Nikaagiza Mango Juice ( Samaki Samaki), Nikawasha Simu Matusi Niliyokutana Nayo Ilibidi Niivunje Laini [emoji23][emoji23][emoji23]. Tangu Siku Hiyo Nimeacha Kiherehere Cha Kujuana Kwa Mtandao.
duh.! umenikumbusha mbali...nimejikuta natabasamu tu.Wasalaaam!
Hapa nazungumzia zaid kwenye suala la kutongozana kati ya mwanamke na mwanaume.
Katika harakat za maisha mm kama Demiss uwiiiii nimeshawakimbia sana wanaume baada ya kukutana na vituko .
1.Huyu alikuwa mwanaume aliyekosea namba tukawa tunawasiliana zaid ya mwaka mmoja bila kuonana maana yeye alisema hana account facebook wala hayupo whatsap.
Basi alishiaa kuniambia tu sifa zake jinsi alivyo kwenye simu kuwa mweusi mrefu wastani na nguo anazopendelea kuvaaa akimaniisha hapo tayar nitahisi anafanana vipi .Aiseeh nilimwambia unafanana na Joh Makini akasema ndiyo .[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Na mm bila kukaaa nyuma nikamweleza sifa zangu yani muonekano wangu jinsi nilivyo kama Black chocolate ,mrefu alafu mwili wa wastani nina chura chokozi na ninapenda kusukaaa macho ya mviringo kama gololi.
Hapo mwanaume akavuta picha nafanana kama Alicia keys.
Balaa sasa siku ya kuonana nakumbuka nilikuwa nimeenda Jitegee sekondary kuchukua uhamisho wa Mdogo wangu basi kwa sababu yule mkaka alisema anafanya kazi Mitaa ya Uhasibu nikasema leo ndo siku ya kuonana maana kipindi tunawasiliana mm nilikuwa mkoan Morogoro hivyo nilikuja Dar kwa masuala ya uhamisho wa mdogo wangu.
Basi baada ya kumaliza issue zangu nikaenda kukaaa pale kituo cha uhasibu kwa ajili ya kusubiri gari za Mbagala huku nawasiliana na yule mkaka aje tuonane .
Uwiiiii nilikuwa nimekaa kwa machale najua mnaelewa mchezo wa kuviziana na mtu usiyemjuaaa inavyokuwaaa ni balaaaaa akipig simu unachelewaa kupokeaaa unaangalia nan anayekupigia[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Uwiii ghafla vuuup namuona mkaka anakuja amevaa likaptulaaa kubwaaa halimtoshi alafu kachomekea na Tshirt jaman chini kavaaa mabuti ni anatishaa jaman uwiiiii(Mnisamehe Demiss napenda mahanshaamy mnanijua lakini)
Mkaka alikuwa anatisha uuuuuuh nisingeweza kumvumilia kwa kweli nilitoka nduki nikaingia kwenye DCM zile zilizokuwa zinaenda Mbagala Rangi 3 na Mbagala kuuu.
Kituko sasa badala ya kupanda Gari za Kwenda Mbagala Rangi 3 nikajikuta nimefika Mbagala kuu hapo simu nimeizima kabisaa
Nilivyofungua sm nilikutana tu na sms za kwann nimemkimbia mm wala sikujibu nikapotezea.
2.Sharobaro mwembamba
Katika maisha hakuna kitu sikipendi kama wanaume wembamba alafu warefuu .
Huyu mkaka sharo nakumbuka sjui alikosea namba na yeye alikuwa anakaa Kimara suka huko tukawa tunawasiliana .
Baadae akawa amenitumia nauli nitoke Moro niende Dar nikasema niende kuonana na mtu simjui wala siwezi nikikutana anafanana kama kibwengo nitafanyaje sitak aiseeee ikabidi ile nauli iishie kwenye mitumba ya Sabasaba sokoni watu wa Moro mnaelewaa shughuli ya Sabasaba.
Basi yule mkaka akaona isiwe tabu ngoja aje mwenyewe mpaka Morogoro aje tuonane.
Siku hiyo nikaenda kukaaa pale Vijana social hall ipo maeneo ya sabasaba ila nilikaa pembeni yake nikawa nampa Direction huyo mkaka aje mpaka Geti la vijana social.
Jaman alivyofika ni mwembamba mrefuu alafu kavulana kadogo kiukweli mm nisingeweza nilivyojiridhisha ni yeye nikazima simu alafu nikapita pale pale alipokuwa amesimama nikaenda zangu kuchukua bodaboda nikasepa zangu Home.(Uwiiii kaka unisamehe nisingeweza)
Ila jaman haya yalikuwa maisha ya kupita tu na ilikuwa ni lazima itokeee hivyo msinilaumu sana.
Bila kusahau kuna member moja wa hapa Jamiiforum nilishawahi kumkimbiaaa jamn sikutegemea kama ningemkuta hivyo nilitoka ndukiiii[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]nusu nivunje milonjoo kwa sababu alinitumia picha siyo zake siku namuona weeeee nilikimbiaaa Mwendo kama Chopa za Urusi.
Mrs Jr chamdeko.
Part 2
3.Mkaka wa Huduma kwa wateja wa mtandao wa simu jina kapuni(Atl)
Nakumbuka ilikuwa ni midaa ya saa 3 usiku baada ya laini yangu ya simu kuzinguaaa nikaamua kutumia simu ya Rafiki yangu kupiga huduma kwa wateja.
Kiukweli sijisifiii Demiss nina saut nzur sana hata shemeji yenu anajua vile nikidekaaa.
Basi nikawa nimeongea shidaa yanguu kwa muhudumu yule wa kiume akanisaidia laini ikafunguliwa.
Ile mida ya saa sita usiku nikaona simu yangu inaitaaa nikapokea .
Yule mkaka akajitambulisha na kusema jinsi saut yangu ilivyomshawishi mpaka akaamua kuchukua namba yangu.
Baada ya hapo tukahamia whatsap kiukweli mkaka ni Smart handsome kama Ben paul.
Siku ya kukimbiana ikawadia!!!!!
Huyo mkaka alikuwa anakaa Ubungo sikumbuk vizur ni ubungo ipi lakin ina vichochoro siyo vya nchii hii yan nyumba zake zina ngazii mpka ufikie mlango walllah kama una pressure unaweza zimiaaa kabla hujafikia mlango wa geto.
Mtoto wa kike nikachukua Daladala kutoka Tegeta kwa ndevu mpaka Ubungo enzi hizo kuna kituo cha daladala pale kama Tanesco kabla ya kubomolewaaa.
Kiukweli mkaka alikuja kunipokea kimbembe kikaanza sasa tukapanda pikpik mpaka sehemu tukashuka tukaanza kuchanja milonjo kupandisha ngazi uwiiiiiiiih nilikomaaa .
Mwishoe tukafikia geto lakee akafungua mlangoo tukaingia chumba chake ni "Shaghalabagalaaa "
Kitanda katikati kimebonyeaaa na ndani kuna kitanda tu na manguo manguoo ameyaweka kwenye Boksi kubwaa sijui ni la kuwekea Laini za.simu kazini kwaooo.
Baada ya kubadilishana mawazo handsome akaanza kuleta mapozi ya kugegedana si unajua tena wanaumee hawacheleweshi.
Kiukweli hali ya hewa ya ile chumba ilinifanyaa nipoteze kabisa Hamu hata ya kugegedana nikafikiria mkaka Handsome smart anakaaa kwenye chumba cha shaghalabagalaaaa mweeeeeeh siwezi kwa kweli[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Baada ya kubebishana anakaribia kunigegeda nikamdanganya nimebanwaa mkojoo .
Nashukuru choo kilikuwa mtaa wa pili jaman akaniambia nendaa hapo ameshavua nguo amebaki na boksa tu mkuyengee ulikuwa tayar kwa Show kabambeeee!!!!!
Basi hapo ndo nilipopata nafasi ya kuanzaa mbio za Marathon mwenzenuuu[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Nikashika simu yangu nikatokaaaa nayo nikarudisha mlangooo nikaanza kunyataaa polepoee kushuka zile ngaziii jamn ngazi ni nyingii utazan gorofaa kumbe wanakwepa mafurikooo.
Nilivyofika kwenye kauchochorooo nilitoka ndukiiii mpaka nikaenda kuparamia mlango wa watu kumbe nimesahau njiaaaa
Ikabid waniulize wewe dada vipi?
Huku natetemeka nikawambiaaa nilitaka kukabwaa ikabid wanielekeze njia nikachukua boda mpaka mwenge nikaenda kudandia gari za Tegeta na simu nikazima.
Kesho yake naamka kuangalia sm nakutana laini inasoma.
"NO SERVICE"
Nikasemaaa hahahha handsome kafanya kazi [emoji16][emoji16][emoji16]
Huko nyumaaa sipati picha nilivyotukanwaaa Demiss miyeeeee.
Itaendeleaa keshoo.........vituko ni vingi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahahaa haaa jamani maisha ya mapenzi safari ndefu sanaHii ilimtokea rafiki yangu wa karibu, kuna mkaka alikosea namba ndio ukawa mwanzo wa mawasiliano kipindi hicho tulikuwa kidato cha nne tukawa tunajisomea pamoja usiku yaani rafiki yangu alikuwa anaongea tu na simu usiku wote hana muda wa kusoma.
Yule kaka alikuwa anaishi moro siku hiyo akasema nakuja dom kuna mzigo naleta huko nataka tuonane maana hata mie nilikuwa naongea nae kwa simu ya rafiki yangu. Ilikuwa ijumaa tukawahi kurudi mwenzangu akajiandaa kwenda kumuona mgeni wake kurudi huko mwenzangu kabadilika yaani amekasirika anasema yaani toka nimezaliwa sijawahi kuonana na baba mwenye sura ngumu kama yule [emoji1] [emoji1] [emoji1].
Kesho yake alikuwa anarudi moro akamwambia kesho uje na shemeji nimuone(mie huyo) jamani kufika nje ya hiyo guest aliyofikia akampigia atoke nje tumefika alikuwa amevaa bonge la suruali la kitambaa na shati la mikono mirefu juu kofia.
Kwenye simu alikuwa na sauti nzuri hatari kuja kumuona nikabaki hoi.
Nilicheka njia nzima kama chizi hadi kufika nyumbani nacheka mwenyewe naulizwa unawehuka? Toka hapo yule baba akipiga simu utasikia hili nalo na matusi juu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwakweli leo mkuu umenichekesha jamani [emoji38][emoji38][emoji38]Mshkaji alimwambia live kuwa "Jamaa yako analikoka huko na akirudi anaweza kukuchana na nyembe tatizo we ni used hadi basi" dem alinyanyuka mwenyewe taratibu, kuvaa kyup chake na kuondoka zake[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Duu jamani [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Katumika sana may be 9ᵀᴴ Hand [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]