Swali kavu: Rais Magufuli hataki Katiba mpya?

Swali kavu: Rais Magufuli hataki Katiba mpya?

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,137
Reaction score
17,908
Kuna Katiba Inayopendekezwa. Imekwama. Fedha na muda wa nchi vimezama. Mchakato umekosa manukato. Rais yuko kimya.
Hotuba yake ya ufunguzi rasmi wa Bunge la 11 haikuonesha nia ya wazi ya Rais katika kupatikana kwa Katiba mpya.

Rais Magufuli atambue kuwa Katiba ya sasa inampa kila aina ya mamlaka. Lakini,Katiba hiyo inawanyima wasaidizi wake na wananchi nafasi ya kufaidi madaraka,mamlaka na maisha yao kidemokrasia.

Nauliza tu,Rais Magufuli hataki wala haitaji Katiba mpya?

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
 
Kuna Katiba Inayopendekezwa. Imekwama. Fedha na muda wa nchi vimezama. Mchakato umekosa manukato. Rais yuko kimya.
Hotuba yake ya ufunguzi rasmi wa Bunge la 11 haikuonesha nia ya wazi ya Rais katika kupatikana kwa Katiba mpya.

Rais Magufuli atambue kuwa Katiba ya sasa inampa kila aina ya mamlaka. Lakini,Katiba hiyo inawanyima wasaidizi wake na wananchi nafasi ya kufaidi madaraka,mamlaka na maisha yao kidemokrasia.

Nauliza tu,Rais Magufuli hataki wala haitaji Katiba mpya?

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Tunataka Maendeleo, kama ukitaka Katiba mpya hamia Kenya!
 
Tupa tupa huna lolote!!
Umejinasibu kwa muda mrefu kuwa mwana CCM, lakini tumekugundua kwamba ni mmoja wa wale wasioutakia mema uongozi wa JPM!!
Wewe Raisi hata mwezi haujaisha, unataka kila kitu hadi katiba mpya iwe imepatikana???
Kila Uzi wako hapa ni kutoa tu dosari kwa Magufuli!
Ni vyema uwe jasiri kama huyo Lowasa ujitangaze rasmi kwamba uko UKAWA na usiwe mnafiki!!!!
 
Ulisikia ameongelea swala la katiba wakati wa kampeni? Umesikia ilani ya chama inaongelea katiba mpya? Usiondoe watanzania kutoka kwenye mstari, kwasasa rais ame focus kwenye cost-cutting..baada ya hapo rais ata focus kwenye re-structuring na stategic re-alignment..baada ya hapo tutamalizia na kutengeneza tamaduni/culture ya maadili, uzalendo na uchapakazi...nadhani nimesomeka, "nguvu 5"
 
Tupa tupa huna lolote!!
Umejinasibu kwa muda mrefu kuwa mwana CCM, lakini tumekugundua kwamba ni mmoja wa wale wasioutakia mema uongozi wa JPM!!
Wewe Raisi hata mwezi haujaisha, unataka kila kitu hadi katiba mpya iwe imepatikana???
Kila Uzi wako hapa ni kutoa tu dosari kwa Magufuli!
Ni vyema uwe jasiri kama huyo Lowasa ujitangaze rasmi kwamba uko UKAWA na usiwe mnafiki!!!!

Kwani alivyoviagiza vyote mwezi umepita? Kukosoa kwangu kunajenga sana. Fuatilia mkuu.

Mzee Tupatupa
 
Kwa utendaji wa Magufuli katiba inaweza kusubiri mpaka 2020.
Utendaji wake unatosha sana.
 
Katiba mpya si matakwa ya wananchi. Wananchi wanahitaji kazi tu. by the way alilieleza bayana wakati wa ufunguzi wa bunge. Sijui wakati anaeleza ulikuwa umekumbatiwa ndo maana hukusikia wala kuona?
 
Kwani alivyoviagiza vyote mwezi umepita? Kukosoa kwangu kunajenga sana. Fuatilia mkuu.

Mzee Tupatupa
Kuna wakati ulitangaza kuwa umeshaachana na CCM na kujiunga na UKAWA. Vipi tena unaendelea kujipendekeza? Wewe endelea kumkumbatia mzee wako anayejinyea
 
Hata mimi siitaki kabisa haina maana kuwepo tunataka maji,afya,elimu bora siyo katiba mpya.
 
Katiba mpya si matakwa ya wananchi. Wananchi wanahitaji kazi tu. by the way alilieleza bayana wakati wa ufunguzi wa bunge. Sijui wakati anaeleza ulikuwa umekumbatiwa ndo maana hukusikia wala kuona?

Hapa ndipo upeo wako unapoishia? CCM ina kazi kubwa. Tutawaweka sawa

Mzee Tupatupa
 
Kwa sasa sheria tuweke pembeni,tunyoshe mambo kwanza.
 
Kwa jinsi magufuli anavyofanya kazi katiba mpya haina maana kwetu tunataka maendeleo magufuli atosha.
 
Tumuulize Mzee Mwanakijiji, maana kuna kipindi nilitoaga offer ya kumpa kura yangu na ndugu zangu Pombe ili ashinde kiuhalali kama angeniahidi kurudisha rasimu ya tume ya warioba. Mwanakijiji akasema atalifanyia kazi..... but again kama masisiem walivyo hakurudi kunipa mrejesho hadi nikamnyima kura yangu Pombe
 
Last edited by a moderator:
Ulisikia ameongelea swala la katiba wakati wa kampeni? Umesikia ilani ya chama inaongelea katiba mpya? Usiondoe watanzania kutoka kwenye mstari, kwasasa rais ame focus kwenye cost-cutting..baada ya hapo rais ata focus kwenye re-structuring na stategic re-alignment..baada ya hapo tutamalizia na kutengeneza tamaduni/culture ya maadili, uzalendo na uchapakazi...nadhani nimesomeka, "nguvu 5"

acheni excuse nyie wanaccm,mwezi haujaisha ndio nini sasa??maana ya kujinasibu na neno lenu hapa kazi tu mlikuwa hamjui maana yake??je kwanini basi msiendelee kukubaliana na tuliokuwa tunasema raisi hakuwa na vipaumbele vyake kabla ya mchakato wa uchaguzi,hakuwa na dira ya alichotaka kukufanya kwahiyo anabaka na kudandia hoja za upinzani kwasasa..alot of excuse toka ccm ndio matatizo ya hii nchi,kila siku tuko kwenye mchakato,mara upembuzi yakinifu,tuanasubiri ripoti ya tume,blaah,blaah nyingi tu
 
Kuna wakati ulitangaza kuwa umeshaachana na CCM na kujiunga na UKAWA. Vipi tena unaendelea kujipendekeza? Wewe endelea kumkumbatia mzee wako anayejinyea
hapo ndipo mnapo fail wanaccm,matusi vinywani mwenu ndio msingi
 
Back
Top Bottom