Swali kavu: Rais Magufuli hataki Katiba mpya?

Swali kavu: Rais Magufuli hataki Katiba mpya?

Ulisikia ameongelea swala la katiba wakati wa kampeni? Umesikia ilani ya chama inaongelea katiba mpya? Usiondoe watanzania kutoka kwenye mstari, kwasasa rais ame focus kwenye cost-cutting..baada ya hapo rais ata focus kwenye re-structuring na stategic re-alignment..baada ya hapo tutamalizia na kutengeneza tamaduni/culture ya maadili, uzalendo na uchapakazi...nadhani nimesomeka, "nguvu 5"

Mbona hatumii ilani ya chama chake? Hivi hujaona anatumia ilani ya Ukawa? Ukawa wanachekelea maana wana mtu anatekeleza ilani yao barabara kabisa. Kama una mtu anakubebea mzigo wako si unabaki ukifurahi? Magufuli ni Ukawa full, kumbuka MAGUFULI 4 CHANGE? hamkuelewa hata hii? Uliwahi kumsikia Magufuli akijinasibu kama MCCM? Think aloud mkuu.
 
Tena iyo katiba ndio inaweza mbana kama Uhuru Kenyatta. Isubiri kwanza

Katiba gani unaongelea wakati FISADI LOWASSA NA GENGE LAKE WALIPIGA KURA YA NDIO KWA IBARA ZOTE ZA KATIBA PENDEKEZWA.ACHNI UNAFIKI,ANGANYENI NYUMB WENZENU.
 
Mbona hatumii ilani ya chama chake? Hivi hujaona anatumia ilani ya Ukawa? Ukawa wanachekelea maana wana mtu anatekeleza ilani yao barabara kabisa. Kama una mtu anakubebea mzigo wako si unabaki ukifurahi? Magufuli ni Ukawa full, kumbuka MAGUFULI 4 CHANGE? hamkuelewa hata hii? Uliwahi kumsikia Magufuli akijinasibu kama MCCM? Think aloud mkuu.
1.Iweje kupunguza matumizi ni mkakati wa Ukawa wakati kila siku Tundu Lissu na Lema wanatokwa povu wakisikia Zitto anapropose ondoleo la posho kwa wabunge!?
2. Iweje ukawa wafurahie activities za Magufuli wakati hizo activities zinasababisha Ukawa ipotee kwenye ramani ya siasa za Tz? Kwasasa hakuna mtu anayemuongelea Lowassa, Mbowe au Kubenea! Kombora za JPM ndo "Talk of the Town" kwa sasa....ngumu sana kuniaminisha kuwa hiyo ni habari njema kwa Dj
 
Wewe sasaivi umekosa muelekeo hebu acha kuji changanya
 
Kuna Katiba Inayopendekezwa. Imekwama. Fedha na muda wa nchi vimezama. Mchakato umekosa manukato. Rais yuko kimya.
Hotuba yake ya ufunguzi rasmi wa Bunge la 11 haikuonesha nia ya wazi ya Rais katika kupatikana kwa Katiba mpya.

Rais Magufuli atambue kuwa Katiba ya sasa inampa kila aina ya mamlaka. Lakini,Katiba hiyo inawanyima wasaidizi wake na wananchi nafasi ya kufaidi madaraka,mamlaka na maisha yao kidemokrasia.

Nauliza tu,Rais Magufuli hataki wala haitaji Katiba mpya?

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Mwache aunde serikali kwanza.......ungejiuliza kwanza anaipenda Ilani ya ccm maana ndiyo hakuigusia kabisa kwenye hotuba yake.
 
Akili za .......................................
th
 
Katiba mpya si matakwa ya wananchi. Wananchi wanahitaji kazi tu. by the way alilieleza bayana wakati wa ufunguzi wa bunge. Sijui wakati anaeleza ulikuwa umekumbatiwa ndo maana hukusikia wala kuona?

tatizo lenu mnakimbilia kucoment someni na muelewe.
watu wanataka katiba mpyaa ile ya jaji warioba sio ile ya wabunge WA ccm walio ipitisha kibabe.

yaani bila katiba mpya hata hiyo habari ya hapa kazi tuu itakuwa ni kazi bure kabisa.

kwenye hotuba yake alizungumzia suala LA katiba lakini tunaihitaji mpya kabisa ile ya jaji walioba
 
Kuna wakati ulitangaza kuwa umeshaachana na CCM na kujiunga na UKAWA. Vipi tena unaendelea kujipendekeza? Wewe endelea kumkumbatia mzee wako anayejinyea

Thibitisha unachodai hapa. Sijawahi kuhama CCM

Mzee Tupatupa
 
..Dr.Magufuli kasema atashughulikia katiba iliyopendekezwa, au katiba ya CHENGE.

..pia Dr.Magufuli amesema ataimarisha MUUNGANO, akisaidiana na Samia Suluhu ambaye ana uzoefu mkubwa ktk masuala ya muungano.

..yote haya yapo katika hotuba ya Raisi aliyoitoa bungeni.

cc INGENJA, Mfamaji, VUTA-NKUVUTE, Lizaboni, Thegame
 
Last edited by a moderator:
1.Iweje kupunguza matumizi ni mkakati wa Ukawa wakati kila siku Tundu Lissu na Lema wanatokwa povu wakisikia Zitto anapropose ondoleo la posho kwa wabunge!?
2. Iweje ukawa wafurahie activities za Magufuli wakati hizo activities zinasababisha Ukawa ipotee kwenye ramani ya siasa za Tz? Kwasasa hakuna mtu anayemuongelea Lowassa, Mbowe au Kubenea! Kombora za JPM ndo "Talk of the Town" kwa sasa....ngumu sana kuniaminisha kuwa hiyo ni habari njema kwa Dj





Kisha soma ILANI YA UCHAGUZI CHADEMA 2015-2020


Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo – Chadema | ILANI YA CHADEMA INAYOBEBA MTAZAMO WA UKAWA


Kisha tafuta katika Google - ILANI YA CCM 2015-2020; ili uone ILANI ipi ni ya ukweli na kutfuta kuleta mabadiliko Tanzania kwa mwaka 2015-2020 kati ya hizo mbili.

Pia angalia serikali ya awamu ya tano wanatekeleza ILANI ipi kati ya hizi mbili. Kwa mtazamo wangu jinsi nilivyosoma zote ni kwamba Magufuli na serikali yake wanatekeleza ILANI YA CHADEMA vs UKAWA.

Hivyo ameona kuwa ILANI YA CCM ni ubabaishaji hakuna mabadiliko yangeweza kupatikana. Na pia muelewe kuwa Mh. Magufuli ni UKAWA mlidaganyika mlipomteua mkadhani kuwa bado ana imani na sera pamoja na ILANI ya CCM. Ameimaindi ILANI yA CHADEMA ndio maana anaitumia kuitekeleza.

HONGERA SANA MH. MAGUFULI KWA KUCHAGUA FUNGU LILILO SAHIHI. ACHANA NA PROPAGANDA ZA CCM WAMEISHIWA HATA SERA HAWANA KWANI WAMESHADANGANYA MIAKA YOTE HAWANA JIPYA.

MH. CHAPA KAZI TEKELEZA ILANI YA CHADEMA vs UKAWA ILI TANZANIA IPATE MABADILIKO.
 
Mwache aunde serikali kwanza.......ungejiuliza kwanza anaipenda Ilani ya ccm maana ndiyo hakuigusia kabisa kwenye hotuba yake.

Mkuu wote wanaopiga kelele hawajamuelewa Magufuli anafanya nini. Wanakurupuka pasipo kupitia vipengele.

Anachofanya Magufuli ni kutekeleza ILANI YA CHADEMA vs UKAWA. Fuatilia ILANI zote mbili utagundua kuwa anayofanya Magufuli yapo ILANI YA CHADEMAna siyo CCM kwani huko hakuna hata jambo moja analolifanya.

Hivyo Magufuli pia naye ni UKAWA ingawawengin hawajagundua hilo. Kile kilio chetu cha mabadiliko ndicho Magufuli anatuletea. Ameichukua ILANI YA CHADEMA akaisoma na sasa anaifanyia kazi. Hivyo kuingia kwa Magufuli yote tuiyoyataka yanapatikana, na pia kwa kuwa yupo upande wetu ataondoa mfumo mbovu wa CCM kuleana na kula keki ya Taifa peke yao.
 



Kisha soma ILANI YA UCHAGUZI CHADEMA 2015-2020


Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo ? Chadema | ILANI YA CHADEMA INAYOBEBA MTAZAMO WA UKAWA


Kisha tafuta katika Google - ILANI YA CCM 2015-2020; ili uone ILANI ipi ni ya ukweli na kutfuta kuleta mabadiliko Tanzania kwa mwaka 2015-2020 kati ya hizo mbili.

Pia angalia serikali ya awamu ya tano wanatekeleza ILANI ipi kati ya hizi mbili. Kwa mtazamo wangu jinsi nilivyosoma zote ni kwamba Magufuli na serikali yake wanatekeleza ILANI YA CHADEMA vs UKAWA.

Hivyo ameona kuwa ILANI YA CCM ni ubabaishaji hakuna mabadiliko yangeweza kupatikana. Na pia muelewe kuwa Mh. Magufuli ni UKAWA mlidaganyika mlipomteua mkadhani kuwa bado ana imani na sera pamoja na ILANI ya CCM. Ameimaindi ILANI yA CHADEMA ndio maana anaitumia kuitekeleza.

HONGERA SANA MH. MAGUFULI KWA KUCHAGUA FUNGU LILILO SAHIHI. ACHANA NA PROPAGANDA ZA CCM WAMEISHIWA HATA SERA HAWANA KWANI WAMESHADANGANYA MIAKA YOTE HAWANA JIPYA.

MH. CHAPA KAZI TEKELEZA ILANI YA CHADEMA vs UKAWA ILI TANZANIA IPATE MABADILIKO.

Ilani ya chadema ni UKANDA, UDINI NA UKABILA full stop.. Rais wetu mpendwa JPM anatekeleza ilani ya ccm inayoangalia wananchi wooote bila kuwabagua
 
Mkuu wote wanaopiga kelele hawajamuelewa Magufuli anafanya nini. Wanakurupuka pasipo kupitia vipengele.

Anachofanya Magufuli ni kutekeleza ILANI YA CHADEMA vs UKAWA. Fuatilia ILANI zote mbili utagundua kuwa anayofanya Magufuli yapo ILANI YA CHADEMAna siyo CCM kwani huko hakuna hata jambo moja analolifanya.

Hivyo Magufuli pia naye ni UKAWA ingawawengin hawajagundua hilo. Kile kilio chetu cha mabadiliko ndicho Magufuli anatuletea. Ameichukua ILANI YA CHADEMA akaisoma na sasa anaifanyia kazi. Hivyo kuingia kwa Magufuli yote tuiyoyataka yanapatikana, na pia kwa kuwa yupo upande wetu ataondoa mfumo mbovu wa CCM kuleana na kula keki ya Taifa peke yao.

Jamaa anatekeleza ilani ya cdm....au ni independent candidate
 
Hivi Tanzania kuna rais?wananchi hawajui.MACCM yamedanganywa na kamsemo na baadhi ya watu,hakika watajuta na kusaga meno
 
Sitaki kuamin,Supporter wa CCM hawaoni umuhimu wa katiba! Kuna vituko duniani.
isingekuwa katiba huyu magufuri mnae msifiwa angetoka peponi? Eeh kweli mitazamo inajengwa na hisia sio hoja.
 
Tumuulize Mzee Mwanakijiji, maana kuna kipindi nilitoaga offer ya kumpa kura yangu na ndugu zangu Pombe ili ashinde kiuhalali kama angeniahidi kurudisha rasimu ya tume ya warioba. Mwanakijiji akasema atalifanyia kazi..... but again kama masisiem walivyo hakurudi kunipa mrejesho hadi nikamnyima kura yangu Pombe

Kaunga, sijui nini kinakufanya unione ni miongoni mwa maCCM. Suala la Katiba Mpya linakuja lakini haliji kama watu walivyotaka au walivyoingizwa mkenge huko nyuma. Subiri mabadiliko ya ile sheria ya Katiba Mpya utaona. Lakini nakuja with better terms.
 
Hii katiba inaongelewa kwa mantiki ipi? Kama kweli tunataka katiba mpya, katiba hiyo lazima ivibane vyama vya upinzani vile vile, mfano Chadema kuwa chama cha ki mangi - meza. Wabunge wa kuchaguliwa nk. EL kuwa mgombea bila kuchaguliwa na wanachama bali mtu mmoja tu ambaye ana pesa, Demokrasia ya kweli ianzie kwenye vyama bila hivyo hata hii katiba mpya tunayopigia kelele inakuwa kichekesho.
 
Ilani ya chadema ni UKANDA, UDINI NA UKABILA full stop.. Rais wetu mpendwa JPM anatekeleza ilani ya ccm inayoangalia wananchi wooote bila kuwabagua


Najua wewe ni mvivu katika kutafuta habari.

Naomba fuatilia LINK hii uone ILANI YA CCM:-

https://drive.google.com/file/d/0BwaSzExP1AEQT1ZYUHdWTWFCWTg/view?pli=1


Pia Fuatilia LINK hii uone ILANI YA CHADEMA vs UKAWA:-


http://chadema.or.tz/ilani-ya-chadema-inayobeba-mtazamo-wa-ukawa/


Angalia Magufuli anafuata ILANI ipi kati ya hizi mbili kisha njoo tuendelee kujadili hoja hii.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Hii katiba inaongelewa kwa mantiki ipi? Kama kweli tunataka katiba mpya, katiba hiyo lazima ivibane vyama vya upinzani vile vile, mfano Chadema kuwa chama cha ki mangi - meza. Wabunge wa kuchaguliwa nk. EL kuwa mgombea bila kuchaguliwa na wanachama bali mtu mmoja tu ambaye ana pesa, Demokrasia ya kweli ianzie kwenye vyama bila hivyo hata hii katiba mpya tunayopigia kelele inakuwa kichekesho.


hapo kwenye RED ndugu yangu unajua unachokiongea au unaropoka tu ili kujaza server za JF?????

Kwani MAgufuli alichaguliwa na wanachama au ni kamati ndiyo iliyomteua kuwa mgombea urais???

Lowasa pia aliteuliwa na kamati kuwa mgombea Urais. Kama ulikuwa hujui utaratibu wa kupata mgombea urais.

Unaposema kuwa "hakuchaguliwa na wanachama bali mtu mmoja" Hueleweki una maana gani, kwani mgombea anateuliwa na kisha kupigiwa kura na wanachama pamoja na wapenzi katika uchaguzi mkuu.

Sidhani kama unaelewa unachokiongea aua unaongea kwa mahaba ya chama tu!!!!!!.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Kaunga, sijui nini kinakufanya unione ni miongoni mwa maCCM. Suala la Katiba Mpya linakuja lakini haliji kama watu walivyotaka au walivyoingizwa mkenge huko nyuma. Subiri mabadiliko ya ile sheria ya Katiba Mpya utaona. Lakini nakuja with better terms.

Kuingizwa mkenge kivipi??? Fafanua tuelewe.
 
Back
Top Bottom