Swali kavu: Rais Magufuli hataki Katiba mpya?


Hivi wewe umelipia server ya JF kiasi gani tangu umejiunga? wacha kelele kama Abunuwasi hilo Jambazi Sugu nalo ni la kuliongelea, nenda ukachunge nalo ng'ombe. Nilikwambia tangu alifu hiyo ndio kazi ambayo inaweza kumpatia kipato kisicho cha dhuluma kwa Watanzania.
 
Sidhani kabisa kama kuna mtu wa CCM anayetaka katiba mpya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…