Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo, inawezekana. Kuna watu wamepangiwa mikoa ambayo hawajafanyia oral interview hasa wale ambao mwajiri ni Wizara ya Afya.Hivi inawezekana mtu ukipangiwa mkoa mwingine tofauti na ulikofanyia oral interview?
Sisi wa tamisemi ambao tulipelekwa arusha bila kupenda imekula kwetuNdiyo, inawezekana. Kuna watu wamepangiwa mikoa ambayo hawajafanyia oral interview hasa wale ambao mwajiri ni Wizara ya Afya.
Lakini naona kwa hawa wa Halmashauri ambazo ndizo zinazotoka kwa sasa wengi wamepangiwa kwenye Halmashauri za mkoa ambao walifanyia oral interview.
Arusha majina hayajatoka na huko kwingine ndo bas tenaSisi wa tamisemi ambao tulipelekwa arusha bila kupenda imekula kwetu
Kwa hali ya ajira ilivyo kijana, we hata ukipelekwa kinampundu nenda tu.....utaenda kuadjast mambo ukiwa huko huko.Sisi wa tamisemi ambao tulipelekwa arusha bila kupenda imekula kwetu
Namaanisha hata arusha pia nmekosa natamani nipangiwe tu popote kama itawezekanaKwa hali ya ajira ilivyo kijana, we hata ukipelekwa kinampundu nenda tu.....utaenda kuadjast mambo ukiwa huko huko.
Tofauti na hapo labda kama una michongo yako ya maana.
Sikuomba arusha lkn nikapelekwa kwenye interview ya oral arusha na matokeo jina halipoNamaanisha hata arusha pia nmekosa natamani nipangiwe tu popote kama itawezekana
Unaweza ukapangiwa kwingine, kuna watu wamefanyia oral interview Arusha lakini jana majina yametoka na wamepangiwa mikoa mingine.Namaanisha hata arusha pia nmekosa natamani nipangiwe tu popote kama itawezekana
unapajuaje kinampundu my sister ni mitaa ya kwetu huko mbonaKwa hali ya ajira ilivyo kijana, we hata ukipelekwa kinampundu nenda tu.....utaenda kuadjast mambo ukiwa huko huko.
Tofauti na hapo labda kama una michongo yako ya maana.