Swali kuhusu Bomu la atomic Hiroshima

Swali kuhusu Bomu la atomic Hiroshima

Point to note
Matilio (uranium) yalitotumika kutengenezea first atomic bomb yalitokea Congo katika jimbo la katanga (zamani likijulikana kama Shaba) kwenye mgodi wa Shikolobwe kipindi hicho Congo ikiwa chini ya mkoloni Belgium.

Belgium ndio waliowauzia USA uranium ambayo ilitokea Congo na kutengenezea nuclear bomb katika mji wa Manhattan nchini Marekani, kwa kifupi wamerekani walitumia madesa ya mwanasayansi mwenye asili ya poland aliyekuwa akihishi nchini ufaransa aliyejulikana kama Marie Curie ( mwanasayansi pekee aliyechukua Noble prize ya Kemia na fizikia, na ndiye mgunduzi wa element inayojulikana kama polanium ambayo imetokana na Uranium, aliipa jina hil kutoka ktk nchi aliyozaliwa ya Poland)
Japo baada ya ugunduzi huo mwanamama Marie Curie alijengewa maabara kubwa nchini ufaransa na kukusanyiwa Uranium kwa ajili ya utafiti, mwisho wa siku alifariki na baadae kugundulika kuwa alikufa kutokana na mionzi ya uranium (uranium radioactivity))
Mpaka sasa Dunia inatumia application ya Marie Curie ktk hospital x rays, sterilization, etc.

Mgodi wa Shinkolobwe ulifungwa lasmi mwaka 2004 kwa Belgium kumwaga zege kwenye lango kuu la kuingilia chini ya mgodi (main shaft).
Japo kwa sasa wachimbaji wadogo wadogo wanaendelea kuchimba na kuchenjua madini mengine pamoja na Uranium, Japo hakuna soko uru la uranium kama ilivyo Gold, je uranium hii inauzwa wapi kwa sasa? hakuna uwezekano wa uranium hii kudondokea ktk mikono isio salama?
 
kunaweza kuwa kwenu kukawa na gereji lakini usijue ata kushika spana nimesema ujerumani hawakuwa trained katk vita vya baridi na snow ni kama vile kupigana jangwani au porini inatakiwa kuwa trained leo aliezoea kupigana vita vya jangwani ukimpeleka Msitu wa amazon atashindwa au kupata tabu sana kuzoea yale mazingira
mbon unapindisha pindisha mkuu,mnasema wajerumani walipigw na warusi kw sababu ya baridi kali iliyopo urusi sasa je mbon baada ya wajeruman kutolew urusi kichapo kiliendelea hadi berlin au barid ya urusi ilingia hadi berlin

Sent from my NEW V1 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hapo sidhani kama utakuwa sahihi kuiita USA kuwa taifa la kigaidi. Hapo ilikuwa ni kipindi cha vita na kama unavyojua vita ni vita tu. Lakini pia tukio hilo ndio lililosaidia vita hivyo (WWII) kuisha mapema !
Vita ilikuwa inakaribia kuiisha, mbabe German alikuwa kupigwa vibaya na majeshi ya Soviet. Japan alikuwa Pia kashindwa Manchuria. Alipigwa vibaya sana na vikosi vya Soviet. Japan alikuwa mgumu ku surrender. USA aliangusha yale mabomu kama revenge ya attack at Pearl Harbor ambapo meli zake za kivita, meli za mafunzo na Nyambizi zote zili zamishwa na ndege vita za Japan. Takriban wanajesh 2500 + walipoteza maisha katika shambulio hilo lá kushutikiza. Pili USA. Aliangusha mabomu ya Atomic strategically kuitangazia dunia yeye ni super power. Tatu kuizui Urusi kuivamia Japan na kufanya Japan nchi ya ki socialist kama East German. Hivyo ilimlazimu kutumia mabomu kuipiga Japan.
 
Sababu ya kutumia atomic bomb kubwa kabisa ni kutisha ulimwengu kuwa US ni powerful nation Ya pili inayotajwa sana ni kusababisha vita iishe haraka ndo mana wakatumia atomic bomb, Walianza na hiroshima kwa kuachia Little boy jina la bomu lilitongenezwa na U235 na kuua watu 130000 papo papo then three day baadae yani agust 9 wakaachia Fat man ambapo liliua kama 80000 ivi watu hili lilitengenezwa kwa plotinum..Harry Truman ndie ali sign kuachia wa bomu alikuwa raisi wa 33 wa Usa ..Baada ya siku sita tangu kulipuliwa japani alikubali kujisalimisha na kusign kuachana na habari za vita
 
Japanese Foreign Minister Shigenori Togo called the ninth of August "a bad day." The Soviet Union declared war on Japan, overrunning the Kwantung army in Manchuria. Sumihisa Ikeda, Director of the Imperial Cabinet Planning Board, described the once invincible army as "no more than a hollow shell."


When news of the Nagasaki bombing reached Tokyo, Togo proposed acceptance of the Potsdam Declaration which set out terms of surrender for Japan and was signed by the United States, Great Britain, and China (U.S.S.R. ruler Joseph Stalin was a principal participant at Potsdam but did not sign the declaration). Japan's Supreme War Direction Council was deadlocked on a decision.


Debate continued throughout that day and night. Finally, at 2 A.M. August 10, 1945, Prime Minister Admiral Baron Kantaro Suzuki respectfully begged His Imperial Majesty Hirohito to make a decision. Hirohito did not hesitate, "...I do not desire any further destruction of cultures, nor any additional misfortune for the peoples of the world. On this occasion, we have to bear the unbearable." The emperor had spoken.


Unfortunately antisurrender sentiment and objections from much of the Japanese military was widespread. Vice Admiral Takijiro Onishi, founder of the kamikazes, argued the Japanese "would never be defeated if we were prepared to sacrifice 20,000,000 Japanese lives in a 'special attack' effort." He later committed suicide rather than surrender.
Hirohito was determined. Against all precedent, the emperor himself convened an Imperial Conference and at noon on August 15, 1945, announced Japan's surrender. The war was over.
Jamaa na ww unacopy klchoandkwa Google kama klvyo hututendei haki bwana
 
mbon unapindisha pindisha mkuu,mnasema wajerumani walipigw na warusi kw sababu ya baridi kali iliyopo urusi sasa je mbon baada ya wajeruman kutolew urusi kichapo kiliendelea hadi berlin au barid ya urusi ilingia hadi berlin

Sent from my NEW V1 using JamiiForums mobile app
Soma historia upya,mjerumani alivamia nchi 2 kwa pamoja ie Britain&Russia, Urusi ina aina 4 za climate,ambapo baadhi ya maeneo ni polar! Mjerumani kushindwa Vita Urusi ilipelekea pia ashindwe maeneo mengine maana walikuwa kwenye military alliance
 
Marekani waliamua kudondosha Atomic Bomb baada ya Japan kuzishambulia meli zaidi ya 6 za wamarekani zilizokuwa zikitoa war supplies kwa nchi washirika wa marekani hizi meli zilizamishwa pale Pearl Harbour, Kutokana Wajapan kuwa wabishi ndipo Marekani wakaamua kuufata ushauri wa Myahudi Mmoja mzawa wa Ujerumani aliyeshiriki kwe Manhatan Project (huyu myahudi ni moja ya wale walomkimbia Hittler) kuwa Njia pekee ya kuimaliza Vita ni kwa Kutumia hayo mabomu,Marekani wakatoa ultimtum Kwa wajapani wasarende wajapan wakagoma,Ndipo Truman akasain na ikumbukwe kuwa Marekani walikuwa wanapinga kusambaa kwa ujamaa uliokuwa ukienezwa na Urusi na kwa kuwa marekani walikuwa hawajashiriki moja kwa moja vitani hii ilikuwa opportunity kuwaonesha warusi kuwa wako vizuri Kijeshi.Kudondoshwa kwa yale mabom hii ndio sababu kuu ya kutokea kwa Vita baridi,mara baada ya vita ya pili ya dunia kumalizika.
 
Yap ndugu,umeongea la hakika kabisa,Ujapan ilijiona hakuna nchi ambayo ingeeshinda,ndo maana ikaamua kuipiga Pearl Harbour ili kuwaonyesha wamerikani kiburi as if america hawana la kufanya,ndo USA ikaamua kuizima Japan kwa Atomic
 
Japanese Foreign Minister Shigenori Togo called the ninth of August "a bad day." The Soviet Union declared war on Japan, overrunning the Kwantung army in Manchuria. Sumihisa Ikeda, Director of the Imperial Cabinet Planning Board, described the once invincible army as "no more than a hollow shell."


When news of the Nagasaki bombing reached Tokyo, Togo proposed acceptance of the Potsdam Declaration which set out terms of surrender for Japan and was signed by the United States, Great Britain, and China (U.S.S.R. ruler Joseph Stalin was a principal participant at Potsdam but did not sign the declaration). Japan's Supreme War Direction Council was deadlocked on a decision.


Debate continued throughout that day and night. Finally, at 2 A.M. August 10, 1945, Prime Minister Admiral Baron Kantaro Suzuki respectfully begged His Imperial Majesty Hirohito to make a decision. Hirohito did not hesitate, "...I do not desire any further destruction of cultures, nor any additional misfortune for the peoples of the world. On this occasion, we have to bear the unbearable." The emperor had spoken.


Unfortunately antisurrender sentiment and objections from much of the Japanese military was widespread. Vice Admiral Takijiro Onishi, founder of the kamikazes, argued the Japanese "would never be defeated if we were prepared to sacrifice 20,000,000 Japanese lives in a 'special attack' effort." He later committed suicide rather than surrender.
Hirohito was determined. Against all precedent, the emperor himself convened an Imperial Conference and at noon on August 15, 1945, announced Japan's surrender. The war was over.
Siku nyingine utafsiri kwa kiswahili mkuu daaah
 
Kwa nini Truman aliamua kutumia atomic bomb?. General McAuthour alikuwa kule,alipanga final assault on Japan. Alipiga hesabu vizuri. Victory was certain. Japan would go under. But it would need hundreds of thousands of Allied soldiers to accomplish the task.. Kwa bomu likaangushwa na wale askari waliokuwa wanasubiri kuchinjwa,wakaingia Japan kubaka wasichana.
 
Soma historia upya,mjerumani alivamia nchi 2 kwa pamoja ie Britain&Russia, Urusi ina aina 4 za climate,ambapo baadhi ya maeneo ni polar! Mjerumani kushindwa Vita Urusi ilipelekea pia ashindwe maeneo mengine maana walikuwa kwenye military alliance
mkuu inabidi wew ndo usome vizur historia.ulishawai kuskia vita ya staligrad? je unajua kama hii vita ya staligrad ndo vita iliyongoz kw kuuwa watu weng san,hii vita ilikuwa kati ya Urusi ikichangiw na germany,romania,itary na hungary lakin kilichokuj kutokea watu wote awakuamin maan germany na wezanke walichapik ile mbay
 
dah haka kauzi kakitambo ila nimekakuta leo na nikatam kinyama, ngoja niendee....!
 
Jf forever nilikua natafuta sana kitu hii !shukrani kwa mtoa post wengi tumefaidika na huu uzi.
 
Mjapan aliendelea kukomaa hata baada ya ujeruman kunyoosha mikono juu, hapo ndipo US akaumaliza mchezo atomic
Mjapani alikosa padogo sana mkuu, kama angeiwahi ile meli ya USS Indianapolis ambayo ilikuwa ikisafirisha lile bomu, waliivizia na submarine yao but meli ilikukuwa faster kidogo, wajapan wakaisubiri wkt inarudi ndipo walipoizamisha ile meli bt km wangefanikiwa wkt inapeleka bomu, wajapani wangetisha sana.
 
ni y
heheheee...kuna watu wanahisi hata Hitler alikuwa Alien....maana kwa sajent wa jeshi kuibuka na kuwa mkuu kama alivyofanya kwa muda mfupi si rahisi.
annee usa, china, japan then Germany
 
Back
Top Bottom