Swali kuhusu Bomu la atomic Hiroshima

Swali kuhusu Bomu la atomic Hiroshima

-Actually kuna watu walosalimika. Because as you see within the first two to four months of the bombings, the acute effects of the atomic bombings killed 90,000–166,000 people in Hiroshima and 39,000–80,000 in Nagasaki; roughly half of the deaths in each city occurred on the first day !
mkuu hiyo idadi sii kweli mkuu
 
Nilichotaka kujua ni kwa nini marekani ilifikia hatua ya kutumia atomic badala ya silaha zingine? je, waliishiwa na zana au?

Mkuu, Japan ilikuwa mbioni ku surrender baada kalemewa na vita, ukweli huo Marekani walikuwa wanaujua sana - sasa kilicho tokea ni nini? Urusi ilitaarifu Marekani kwamba baada ya Urusi kuwashinda Wajapan huko Manchuria ilikuwa na mpango kabambe wa kuivamia na kuikalia Japan, taarifa hizo ziliwashtua sana Wamerikani ukiwekea maanani umahili ulionyeshwa na jeshi la red army dhidi ya Hitler huko Ulaya/Ujerumani - wakati huo hata jengo la Bunge la Ujerumani lilishatekwa na Red Army - nguvu na kasi ya ushindi wa Jeshi la Stalin uliwashtua sana ma Field Marshals na Majenerali wa majeshi ya Wamerikani na Uingereza na Rais Truman wa Marekani pamoja na Waziri Mkuu wa Uingereza Winston Churchil.

Baada ya maelezo hayo machache sasa swali ni: Kwa nini Marekani ilidondosha mabom ya Nuclear wakati wakijua wazi kwamba Wajapan walikuwa mbioni ku surrender? Jibu ni rahisi:Cha kwanza kabisa lengo lilikuwa kuwatisha Warusi, pili ni kuwawahi Warusi kabla hawajavamia Japan na kuikalia - na inasemekana baada ya kudondosha mabom mawili huko Japan, Marekani walibakiwa na bom moja tu! Which means kati ya mwaka 1942 mpaka mwaka 1945 Marekani walihunda mabom manne tu - moja lilitumika kwenye majaribio kwenye jangwa la Nevada na mawili yalidodoshwa Japan na moja likabaki kama hakiba na kibaya zaidi mali ghafi ya kuhunda bom yalichimbwa Congo DRC (Belgiani Congo ya wakati huo) lakini Churchil na Truman wakawa wanadanganya Dunia kwa kudai eti madini ya kuhunda bom yanachimbwa Canada. Mara nyingi Amerika ujitetea eti walilazimika kutumia bomb la Nuclear dhidi ya Japan to save lives za manajeshi wao kama Marekani ingehamua kuivamia Japan, hiyo si kweli lengo lilikuwa ni la kisiasa/Geopolitics zaidi kuliko kitu kingine.

Utumiaji wa Nuclear bomb kwa mara ya kwanza Duniani ndiko kulianzisha uadui mkubwa baina ya Urusi na Marekani vile vile na ushindani mkubwa wa kuhunda silaha za maagamizi baina ya Urusi na Marekani ingawa na Uingereza ilikuwa inajitumbukiza humo humo kwa kuwa walikuwa wanashirikiana na Marekani katika tafiti na uhundaji wa silaha za Nuclear, Wafaransa na Wachina walifuata baadae kabisa.
 
Mkuu, Japan ilikuwa mbioni ku surrender baada kalemewa na vita, ukweli huo Marekani walikuwa wanaujua sana - sasa kilicho tokea ni nini? Urusi ilitaarifu Marekani kwamba baada ya Urusi kuwashinda Wajapan huko Manchuria ilikuwa na mpango kabambe wa kuivamia na kuikalia Japan, taarifa hizo ziliwashtua sana Wamerikani ukiwekea maanani umahili ulionyeshwa na jeshi la red army dhidi ya Hitler huko Ulaya/Ujerumani - wakati huo hata jengo la Bunge la Ujerumani lilishatekwa na Red Army - nguvu na kasi ya ushindi wa Jeshi la Stalin uliwashtua sana ma Field Marshals na Majenerali wa majeshi ya Wamerikani na Uingereza na Rais Truman wa Marekani pamoja na Waziri Mkuu wa Uingereza Winston Churchil.

Baada ya maelezo hayo machache sasa swali ni: Kwa nini Marekani ilidondosha mabom ya Nuclear wakati wakijua wazi kwamba Wajapan walikuwa mbioni ku surrender? Jibu ni rahisi:Cha kwanza kabisa lengo lilikuwa kuwatisha Warusi, pili ni kuwawahi Warusi kabla hawajavamia Japan na kuikalia - na inasemekana baada ya kudondosha mabom mawili huko Japan, Marekani walibakiwa na bom moja tu! Which means kati ya mwaka 1942 mpaka mwaka 1945 Marekani walihunda mabom manne tu - moja lilitumika kwenye majaribio kwenye jangwa la Nevada na mawili yalidodoshwa Japan na moja likabaki kama hakiba na kibaya zaidi mali ghafi ya kuhunda bom yalichimbwa Congo DRC (Belgiani Congo ya wakati huo) lakini Churchil na Truman wakawa wanadanganya Dunia kwa kudai eti madini ya kuhunda bom yanachimbwa Canada. Mara nyingi Amerika ujitetea eti walilazimika kutumia bomb la Nuclear dhidi ya Japan to save lives za manajeshi wao kama Marekani ingehamua kuivamia Japan, hiyo si kweli lengo lilikuwa ni la kisiasa/Geopolitics zaidi kuliko kitu kingine.

Utumiaji wa Nuclear bomb kwa mara ya kwanza Duniani ndiko kulianzisha uadui mkubwa baina ya Urusi na Marekani vile vile na ushindani mkubwa wa kuhunda silaha za maagamizi baina ya Urusi na Marekani ingawa na Uingereza ilikuwa inajitumbukiza humo humo kwa kuwa walikuwa wanashirikiana na Marekani katika tafiti na uhundaji wa silaha za Nuclear, Wafaransa na Wachina walifuata baadae kabisa.
FaizaFoxy Kuna mchafuzi wa lugha huku.
 
Bomu la Atomik katika mini ya Nagasaki na Hiroshima ilikuwa revenge ya Marekani kwaJapan ambayo ilivamia bandar ya Pearl Huko Hawaii na kuua wanajeshi zaidi ya elfu tatu wa USA.Katika shambilio hilo la a in a yake yaani element of surprise liliizamisha kabisa manowari ya Kimarekani na kuacha vilio vya kila a in a kwa Taifa la Marekani
Baada ya shambulio hilo iliwachukua USA zaidi ya miezi sita kujipanga kurevenge ila revenge hao ikawa babu kubwa iliyoishtua Dunia yote hivo vita kukoma
 
Bomu la Atomik katika mini ya Nagasaki na Hiroshima ilikuwa revenge ya Marekani kwaJapan ambayo ilivamia bandar ya Pearl Huko Hawaii na kuua wanajeshi zaidi ya elfu tatu wa USA.Katika shambilio hilo la a in a yake yaani element of surprise liliizamisha kabisa manowari ya Kimarekani na kuacha vilio vya kila a in a kwa Taifa la Marekani
Baada ya shambulio hilo iliwachukua USA zaidi ya miezi sita kujipanga kurevenge ila revenge hao ikawa babu kubwa iliyoishtua Dunia yote hivo vita kukoma
Asante mheshimiwa Diwani. Levolosi tupo vizuri
 
Nilichotaka kujua ni kwa nini marekani ilifikia hatua ya kutumia atomic badala ya silaha zingine? je, waliishiwa na zana au?

marekani walkuwa wànalipiza kisasi cha japani kushambulia ndege za USA ktk kisiwa cha Hawaii
 
USA alikua na hasira ya kudunguliwa kwa ndege yake uko hawaii
 
Wakati mjapan anashambulia kambi ya wanajeshi wanamaji kule Hawaii, jeshi la Japan na Marekani yalikuwa na uwezo gani kila moja kwa kuyalinganisha??
Mjapani alikuwa na ndege bora zaidi za kivita. Upande wa majini walikuwa kama sawa tu. Upande wa infantry japani walikuwa wazuri.
 
Ahsante MKUU kwa kuingia absolute chaka, Hiroshima na Nagasaki ni miji ya Japan iliyopigwa mambomu hayo. Bomu lile lililopigwa hiroshima liliitwa "little boy" ambapo ilikuwa tarehe 6 august 1945 na lile lililopigwa Nagasaki liliitwa "fat man" mnamo tarehe 9 August 1945.
Pia ni muhimu kutofautisha technologia ya haya mabomu. Hiroshima ilipigwa na NUCLEAR bomb na Nagasaki walipokea ATOMIC/HYDROGEN bomb.
 
kunaweza kuwa kwenu kukawa na gereji lakini usijue ata kushika spana nimesema ujerumani hawakuwa trained katk vita vya baridi na snow ni kama vile kupigana jangwani au porini inatakiwa kuwa trained leo aliezoea kupigana vita vya jangwani ukimpeleka Msitu wa amazon atashindwa au kupata tabu sana kuzoea yale mazingira
Suala hapo siyo mafunzo. Askari wa hitla walikuwa na mafunzo ya kupigana kwenye barafu. Sababu ya kushindwa kuingia Moscow mwaka 1941 wakiwa wamebakiza kama kilomita 15. Na pia kuzidiwa vita ya Reningrad/St Peters Barg ni kama ifuatavyo.

1. Majira ya baridi yasiyotarajiwa. The 1941 Winter came very early in october and it was very harsh winter ever seen in Europe for a century.

2. Extended War. Hitler alipanga kuimaliza operesheni barbarosa kwa muda mfupi kabla ya msimu wa baridi kuanza. Vita ikawa endelevu ikavuka muda wake. Hivyo askari wa Hitler hawakuwa na maandalizi ya nguo na zana za kivita kwa ajili ya majira ya baridi.

3. Vita kupiganwa mbali sana kutoka ujerumani na hasa kasi kubwa ya wapiganaji hivyo kuleta usumbufu kwenye logistics and supply. Askari walikosa mahitaji ikiwemo chakula.

4. Vifaa vya kivita kushindwa kuhimili hali ya baridi na barabara za tope/theruji. Iligika mahala bunduki na mizinga hili jam. Hilo la barabara liliongeza shida ya namba 3.

5. Kuimarika kwa jeshi la mrusi kila kukicha. Kwa maana ya watu na vifaa. Warusi walikuwa wengi sana hata ukiangamiza kikosi kesho yake wapo wapya.

6. Kuingia kwa marekani kwenye vita hiyo upande wa magharibi. Hii ilifanya jeshi la hitla kupigana pande mbili kote wakikabiliana na wanaume hasa. Hivyo kugawanya rasilimali pande mbili za vita ilisababisha vita upande wa mashariki ipoe.

7. nk.
 
Suala hapo siyo mafunzo. Askari wa hitla walikuwa na mafunzo ya kupigana kwenye barafu. Sababu ya kushindwa kuingia Moscow mwaka 1941 wakiwa wamebakiza kama kilomita 15. Na pia kuzidiwa vita ya Reningrad/St Peters Barg ni kama ifuatavyo.

1. Majira ya baridi yasiyotarajiwa. The 1941 Winter came very early in october and it was very harsh winter ever seen in Europe for a century.

2. Extended War. Hitler alipanga kuimaliza operesheni barbarosa kwa muda mfupi kabla ya msimu wa baridi kuanza. Vita ikawa endelevu ikavuka muda wake. Hivyo askari wa Hitler hawakuwa na maandalizi ya nguo na zana za kivita kwa ajili ya majira ya baridi.

3. Vita kupiganwa mbali sana kutoka ujerumani na hasa kasi kubwa ya wapiganaji hivyo kuleta usumbufu kwenye logistics and supply. Askari walikosa mahitaji ikiwemo chakula.

4. Vifaa vya kivita kushindwa kuhimili hali ya baridi na barabara za tope/theruji. Iligika mahala bunduki na mizinga hili jam. Hilo la barabara liliongeza shida ya namba 3.

5. Kuimarika kwa jeshi la mrusi kila kukicha. Kwa maana ya watu na vifaa. Warusi walikuwa wengi sana hata ukiangamiza kikosi kesho yake wapo wapya.

6. Kuingia kwa marekani kwenye vita hiyo upande wa magharibi. Hii ilifanya jeshi la hitla kupigana pande mbili kote wakikabiliana na wanaume hasa. Hivyo kugawanya rasilimali pande mbili za vita ilisababisha vita upande wa mashariki ipoe.

7. nk.
sio kweli mkuu pitia vizuri iyo vita utagundua kuw marekani alikuta vita ipo mwishoni na support ilikuwa kuwapiga wajapan na sio magerumani
 
nd
Tafuta lini marekani aliingia vitani ulaya. Ilikuwa summer 1941.
ndugu yangu ndo maana wanasema kama warusi wangepigw sijui historia ingeandikwaje maana vita ya warusi na wajerumani pekee iliondoa roho za wanajesh 15 milioni katika wanajesh 21 milioni waliokufa ktk vita ya dunia.80% ya wanajesh wa hitler walikuwa katika vita na warusi,20% ndo walikuw katika vita na mataifa mengin kam wingereza,usa na mengineyo.wanajeshi wa marekani waliokufa ktk vita ya dunia ni laki 500,000 tu
 
nd
ndugu yangu ndo maana wanasema kama warusi wangepigw sijui historia ingeandikwaje maana vita ya warusi na wajerumani pekee iliondoa roho za wanajesh 15 milioni katika wanajesh 21 milioni waliokufa ktk vita ya dunia.80% ya wanajesh wa hitler walikuwa katika vita na warusi,20% ndo walikuw katika vita na mataifa mengin kam wingereza,usa na mengineyo.wanajeshi wa marekani waliokufa ktk vita ya dunia ni laki 500,000 tu
Ni kweli Eastern thieter ilikuwa na casualities wengi ukilinganisha na Western. Lakini hizi takwimu kumbuka zipo biased zimeandaliwa na wester. Utakuta wanasema katika kila askari wa kijerumani aliyekufa kwenye vita ya mashariki askari wa kirusi walikufa 3 hadi 4. Kwa upande wa magharibi wanajaribu kuonyesha tofauti.
 
Back
Top Bottom