Swali kuhusu Majini na Mapenzi...

Swali kuhusu Majini na Mapenzi...

Mzee Saliboko

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2018
Posts
1,311
Reaction score
1,018
Tumeona watu wanaoana au wanatafuta majini kuwa wake/waume/wachumba zao. Hoja yangu kubwa ipo kwenye tendo la ndoa.

Je, majini nayo huwa yanahisi utamu au raha kufanya mapenzi na binadamu? au yanamridhisha tu binadamu? Sina mpango nayo ila nayatafuta maarifa.

Ahsante
 
Duuh
Tumeona watu wanaoana au wanatafuta majini kuwa wake/waume/wachumba zao. hoja yangu kubwa ipo kwenye tendo la ndoa.

Je, majini nayo huwa yanahisi utamu au raha kufanya mapenzi na binadamu? au yanamridhisha tu binadamu?
sina mpango nayo ila nayatafuta maarifa.

Ahsante
 
Msishangae mbona mimi nimewahi kum'bandua SHETANI hadi akanambia hajawahi pata kichapo cha muhogo wa jang'ombe kiasi hicho
 
Wanataka boro la punda..wewe na kib100 chako watakulia hela zako bure.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom