Askarimtu
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 277
- 185
Habarini wataalamu
Naomba kuuliza iwapo hii imewahi kutokea nchini au popote duniani.
Je, matokeo ya SENSA YA WATU NA MAKAZI yaliwahi kutumika kubadilisha baadhi ya sheria nyeti kabisa za nchi husika?? Au mbali sana yakabadilisha kabisa KATIBA ya nchi?
Ukiacha na mambo ya kuzuiliwa kuzaa watoto wengi.
Nawasilisha.
Naomba kuuliza iwapo hii imewahi kutokea nchini au popote duniani.
Je, matokeo ya SENSA YA WATU NA MAKAZI yaliwahi kutumika kubadilisha baadhi ya sheria nyeti kabisa za nchi husika?? Au mbali sana yakabadilisha kabisa KATIBA ya nchi?
Ukiacha na mambo ya kuzuiliwa kuzaa watoto wengi.
Nawasilisha.