Swali kuhusu tabia ya kususa, kugomea au kuzira: Je, si tabia za kike, si utoto?

Tabia za kike? Mkuu ni jana tu wenyewe walikuwa na maadhimisho yao, na moja ya agenda kuu nikutaka usawa. Leo umeweka kichwa cha habari cha aina hii, wakikusikia hawato kuacha.
 
Tabia za kike? Mkuu ni jana tu wenyewe walikuwa na maadhimisho yao, na moja ya agenda kuu nikutaka usawa. Leo umeweka kichwa cha habari cha aina hii, wakikusikia hawato kuacha.
Siku zote ukweli usemwe.
P
 
Mkuu Mindi , makaburi mengine hatari kuyafukua!. Kwa heshima yangu, niko chini ya miguu yako, naomba hili bandiko lako ulifute!, ni ombi tuu, sio amri!, ukiisha lifuta, nitakuambia kitu!, please!.
P
 
Ni katika kujikumbusha tuu, na kukumbushana tuu kuhusu hii tabia ya kususa, Chadema hawakuanza leo.

kuna vitu unaweza kususa, na kuna vitu huwezi kususa!, hata majumbani mwetu, mara ngapi tunabaniwa?, watabana.. mwisho wataachia!.

Hawa watu wanajifanyaga kususa, eti hawakubali matokeo, na hawamtambui rais!. Rais akiisha apishwa, yeye ndio rais, umtambue usimtambue ndio rais wako!. Kuna vitu unaweza kususa, kama kula, lakini kuna vitu huwezi kususa kwasababu vipo in existence, kama kususa kuvuta pumzi, au kususa kushusha, ikitokea need ya kushusha, lazima ushushe, huwezi kususa, na hata ukisusa, bado mzigo utashuka!.

Huwezi kususa kumtambua rais!.

P
 
Mwaka huu nenda kapige kura , hakuna kura ya mtu itakayoibiwa. ..........Mh. Tundu Lissu.
Baada ya uchaguzi:
Nimeibiwa kura zoooote...hahhhahaha
Hii tabia ya kutokukubali matokeo inabidi tuitafitie dawa
Naunga mkono hoja, tena kuna akina sisi, tuliwashauri vizuri kabisa kabla
p
 
Naunga mkono hoja, Chadema, hapa walipo tayari they are half dead, wakisusa kutoa ushirikiano kwa Mbunge wao wa ngama, na kususia kuteua wabunge wa viti maalum, then kwa Chadema, that will be the final fenale, Chadema itakuwa finito, totally kwishney, their only place will be 6ft under!.


Watu tunakesha humu kuwaombea uteuzi, kumbe wenzetu wanapanga kususa!.

Hawajajifunza kilichowapata CUF na sasa ACT kususa ile 2016?.

Kama ni kususa, suseni ila msije kujuta...

P
 
Kazi ya kususa inaendelea...
P
 
Kazi ya kususa inaendelea...
P
Mahakama gani unaongelea Paskali ???, hizi za ccm zilizo chini ya mkono wa serikali dhalimu ambayo watendaji wake (Takukuru) wamekiri kwamba kulikuwa na kesi 147 waliwabambika watu !!, ambazo sasa wametangaza kuzifuta, za polisi ndio hazihesabiki
 
Yan unaweza kusema tume ya uchaguzi Tanzania ni tume huru? You are insulting your own intel
Kwa mujibu wa sheria iliyounda Tume ya Uchaguzi NEC, ni Tume huru, iko independent, tatizo ni sio shirikishi yaani NEC is independent, but not inclusive, kinachotakiwa ni kuifanya tuu kuwa Inclusive, na hili liko ndani ya uwezo wa Mama Samia!.

Paskali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…